nyachijendi
Member
- Dec 15, 2012
- 57
- 8
Habari wana mmu mimi mtz mwenye miaka 34, napenda kutoa fursa kwa akina dada kuja kunitoa silidi. Mm nililelewa kimaadilri na nilichelewa sana kusoma shule, nimeenda nje na hadi sasa nina masters, ninaomba wadada wenye umri wa miaka 23-27 waje, nipm