Kamtoe seal!!!!!Lol nina qualification zote.........
Ila mhhhh...........
Habari wana mmu mimi mtz mwenye miaka 34, napenda kutoa fursa kwa akina dada kuja kunitoa silidi. Mm nililelewa kimaadilri na nilichelewa sana kusoma shule, nimeenda nje na hadi sasa nina masters, ninaomba wadada wenye umri wa miaka 23-27 waje, nipm
Habari wana mmu mimi mtz mwenye miaka 34, napenda kutoa fursa kwa akina dada kuja kunitoa silidi. Mm nililelewa kimaadilri na nilichelewa sana kusoma shule, nimeenda nje na hadi sasa nina masters, ninaomba wadada wenye umri wa miaka 23-27 waje, nipm
Habari wana mmu mimi mtz mwenye miaka 34, napenda kutoa fursa kwa akina dada kuja kunitoa silidi. Mm nililelewa kimaadilri na nilichelewa sana kusoma shule, nimeenda nje na hadi sasa nina masters, ninaomba wadada wenye umri wa miaka 23-27 waje, nipm
Hivi kwa nini sisi mabikra tunaonekana vilaza sana? Nyie mlotatuana njia zote ndo mwaonekana much know...kudadeki zenu!
uzoefu ndo mpango mzima duniani hapa
tunasajili vitu vikali kama man u vile! hujacheza hata ligi ya mbuzi uje ucheze premier ligi?
Bikra ya jicho moja?
"nina miaka 34........nilichelewa sana kusoma shule.....sasa nina master..." hii imekaaje?
Nakuskitikia sana, dunia hujaifaidi
Habari wana mmu mimi mtz mwenye miaka 34, napenda kutoa fursa kwa akina dada kuja kunitoa silidi. Mm nililelewa kimaadilri na nilichelewa sana kusoma shule, nimeenda nje na hadi sasa nina masters, ninaomba wadada wenye umri wa miaka 23-27 waje, nipm
hata mimi nawashangaa hawa watu, kwa nini wanaona ujanja kuvunja amri za mungu. There is a God out there who looks down and smile at us virgins!