Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Jeshi la Polisi Wilaya ya Biharamulo.Kituo Cha Nyakaura, linamshikilia Amani Philipo mkazi wa Kijiji cha Nyabugombe. Kwa tuhuma ya kuwasha moto uliosababisha nguzo za umeme kuungua kijijini hapo.
Matukio Kama hayo ya uchomaji moto mbuga pamoja na maeneo mengine yanaonekana kuendelea kushika kasi, ambapo kwa sasa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) limeendelea kupata hasara ya uharibifu wa miundo mbinu yake kwa kiasi kikubwa.