Bigirita uko wapi laazizi?

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Asalaam aleykum, bwana asifiwe, tumsifu Yesu kristo wanaJF, poleni na msiba wa wapendwa wetu wawili Remmy na Baba Diana mola azilaze roho zao mahala pema peponi.
Jamani huyu mtu anaitwa BIGIRITA yuko wapi? Teamo, Aspirini (Babu), The Finest (Dig Dig), GY, Rose180, RR, MwanaJ1, Mama kwanza, Maty na wengine nisaidieni kumuambia namtafuta. Nashukuru kama mtanifikishia salamu zangu kwake.
 
Habari yake Mama kubwa....unamtafuta hatibreka au?
 
Mama kubwa habariii yako banaaa leo imekuwa vice versa juzi(ijumaa) kwenye kikao tulitoa mwongozo wa kukutafuta tukurudishe kundini maana naona umekimbia, ila huyu bigirita(hatibreka) muda si mrefu ataonekana tu
 
Hivi huyu Bigirita ni yule mwandishi wa vitabu vya Uzazi wa Mpango...right?
 
Lile darsa halijaisha Mama B...hunitafuti?

rr umesemaje we mwanaume?
sasa adhabu yako nakununia kuanzia xmass mpk new yr ..na autaenda popote ntakufungia seblen ntakachokuachia ni remote tu bas..sim zote ntazifungia....mama bg hafai...nimewaruhusu mpeane darasa kwa semester moja sasa mwataka kuifanya kozi ya miaka mitano?ata inginiaring haifany ivo...!!!!
andika msg sema pole mama bg nilikuwa nakutania....la sivyo maji utaita mma leo...I SAID.
 
rr umesemaje we mwanaume?
sasa adhabu yako nakununia kuanzia xmass mpk new yr ..na autaenda popote ntakufungia seblen ntakachokuachia ni remote tu bas..sim zote ntazifungia....mama bg hafai...nimewaruhusu mpeane darasa kwa semester moja sasa mwataka kuifanya kozi ya miaka mitano?ata inginiaring haifany ivo...!!!!
andika msg sema pole mama bg nilikuwa nakutania....la sivyo maji utaita mma leo...I SAID.

Pole Mama B nilikuwa nakutania.....(Mama B twende chemba basi)
 
Hivi huyu Bigirita ni yule mwandishi wa vitabu vya Uzazi wa Mpango...right?

apana.ni yule mtoa vizazi vya kike.
anapenda sana kufanya safari na akifika kati kati ya safar anasimamisha tukutuku na kuzindika kichaka.
ana pilipili na hoho kwenye friji la mama bg
anapenda kutoa lami na kuweka vumbi
 
Usimfanyie hivyo mwenziyo tafadhali, Mpunguzie adhabu! Mimi naweza kumwekea dhamana.
rr umesemaje we mwanaume?
sasa adhabu yako nakununia kuanzia xmass mpk new yr ..na autaenda popote ntakufungia seblen ntakachokuachia ni remote tu bas..sim zote ntazifungia....mama bg hafai...nimewaruhusu mpeane darasa kwa semester moja sasa mwataka kuifanya kozi ya miaka mitano?ata inginiaring haifany ivo...!!!!
andika msg sema pole mama bg nilikuwa nakutania....la sivyo maji utaita mma leo...I SAID.
 
Usimfanyie hivyo mwenziyo tafadhali, Mpunguzie adhabu! Mimi naweza kumwekea dhamana.

dhamana gan?
iseme labda ntakuelewa kwa niaba yake...niliwapa semester moja sasa naona wanataka kuunganisha na koz ya phd apa apa ...wakat nawaona...
 
Mama kubwa habariii yako banaaa leo imekuwa vice versa juzi(ijumaa) kwenye kikao tulitoa mwongozo wa kukutafuta tukurudishe kundini maana naona umekimbia, ila huyu bigirita(hatibreka) muda si mrefu ataonekana tu

ki dig dig unavumilia kuwa katika hali i?
yan bg anatafutwa...vp umefukuzwa kaz kaka?
 
dhamana gan?
iseme labda ntakuelewa kwa niaba yake...niliwapa semester moja sasa naona wanataka kuunganisha na koz ya phd apa apa ...wakat nawaona...
Oh! kwanza uwe tayari kuwasamehe, halafu kama ni kufidia basi nitasimamia walipe haraka. Hizo adhabu kali mno kwa watoto wa mwanamke mwenzio
 
apana.ni yule mtoa vizazi vya kike.
anapenda sana kufanya safari na akifika kati kati ya safar anasimamisha tukutuku na kuzindika kichaka.
ana pilipili na hoho kwenye friji la mama bg
anapenda kutoa lami na kuweka vumbi
Nisaidieni namba za BABA Askofu!
Nimegundua kuna mtu anahitaji toba kabla ya Parapanda hapa!
 
Back
Top Bottom