REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Yeah of course as we all know what Kenyans are best for, so juzi walijichanganya kama kawaida yao bragging and winning cheap publicity but today for the wrong person ๐๐๐
Yaani huyu dada hata kaa asahau maisha yake yote, Eti anamlisha maneno Quest kwamba amesema Kenya is so beautiful country, growing rapidly, world Bank number one choice and other blah blah blah as usual
Saa ngapi Richard Quest asichomoke huko alikochomoka na kumpa punch lines kadada kawatu ๐๐๐ kamekua kadoooogo kama kapanya ๐ญ mpaka kakafuta ile tweet yake ya uongo kakaanza kuomba msamaha, kigagula cha watu ๐
Next time mjifunzege nyie wakenya sio kila train lakupandia kwa mbele, kama hiyo mitungi yenu ya chang'aa mlivyoizoea, trains nyingine ni hyperloops ukijichanganya tunakusahau ๐
Quest means Truth, Yeah ๐
Yaani huyu dada hata kaa asahau maisha yake yote, Eti anamlisha maneno Quest kwamba amesema Kenya is so beautiful country, growing rapidly, world Bank number one choice and other blah blah blah as usual
Saa ngapi Richard Quest asichomoke huko alikochomoka na kumpa punch lines kadada kawatu ๐๐๐ kamekua kadoooogo kama kapanya ๐ญ mpaka kakafuta ile tweet yake ya uongo kakaanza kuomba msamaha, kigagula cha watu ๐
Next time mjifunzege nyie wakenya sio kila train lakupandia kwa mbele, kama hiyo mitungi yenu ya chang'aa mlivyoizoea, trains nyingine ni hyperloops ukijichanganya tunakusahau ๐
Quest means Truth, Yeah ๐