Bigger than Alicia Keys and Aretha Franklin

MALCOM LUMUMBA

JF-Expert Member
Jul 26, 2012
20,897
63,644
Wadau mimi sipondi ila bongo tunahitaji nguvu ya ziada ili kufika hivi viwango.
Huyu dada ni Muisrael anaitwa Rudi Bainesay.
Anaimba hadi hatari, kawafunika wenye hizi nyimbo

Natural Woman by Aretha Franklin, kifupi kamshinda mwenye wimbo


Fallin by Alicia keys, hapa napo kamshinda mbali Alicia Keys.


Hapa napo katisha sana wimbo siujui lakini ni hatari duuh.


We are young- Fun


CC: MGuccI
 
Nyingine hizi hapa

American Boy- Estelle ft Kanye West


Naughty boy- La La La


Take me to church- Hozier
 
Wadau mimi sipondi ila bongo tunahitaji nguvu ya ziada ili kufika hivi viwango.
Huyu dada ni Muisrael anaitwa Rudi Bainesay.
Anaimba hadi hatari, kawafunika wenye hizi nyimbo

Natural Woman by Aretha Franklin, kifupi kamshinda mwenye wimbo


Fallin by Alicia keys, hapa napo kamshinda mbali Alicia Keys.


Hapa napo katisha sana wimbo siujui lakini ni hatari duuh.


We are young- Fun


CC: MGuccI



Duh! Kuna watu wanakula vitu Vitamu ni balaa!
 
Duh! Kuna watu wanakula vitu Vitamu ni balaa!

Haahaaa,
Kwanini tena braza?
Ila niache unafiki Tangu naangalia X-Factor, American Pop Idol, America+British got talent, The Voice UK+US sijapata kuona vipaji vikiwa vingi namna hii.
Mbona ni balaa sasa.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom