Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
Wadau salaam,
nimekuwa nikifuatilia hizi slogan za serikali na mbwembwe nyingi ambazo kila nikikaa na kutafakari kwa kina nashindwa kuelewa wanaoziandaa wanakuwa wakifikiria nini hasa.
Hii ya miezi kadhaa iliyopita kiimeibuka kitu kiitwacho big results now (brn), nashawishika kuamini kuwa ni mojawapo ya maazimio na kaulimbiu za kukurupuka pasi na uchunguzi au hata tafakari na tafakuri za kina kabla ya kuiwasilisha kwa hadhira ya watanzania takribani milioni 50 kwa uwingi wetu.
Nikiweka tafsiri rahisi ya kiswahili kwenye kaulimbiu hii naamini wanamaanisha "matokeo makubwa sasa", na kwa maana hii ya kiswahili ndipo misingi na dhima ya ukakasi juu ya hii kaulimbiu nimeijenga....inaeleweka na kuaminika na kila mwanadamu aishiye chini ya jua kuwa "matokeo yoyote huwa ni matunda ya matendo yaliyofanyika"...results zinatokana na actions.
Sasa basi, napenda kuwashauri wabunifu na watunzi wa hii slogan/ kaulimbiu ya big results now..warudi kwenye kazi ya awali ya kujiuliza..hizi results now zinatokana na actions zipi now?..na kama wanaongelea big positive results naamini wanatakiwa pia wafikirie effective actions ili matunda yawe possitive results.
Kama wanadhani itawawia ngumu sana kubadilisha wazo/slogani/kaulimbiu basi wafute maneno mawili ya mwanzo kwenye slogani waliyokwishaipiga mnada kwa wananchi na isomeke "effective actions now"...na waweke wazi hizo action watakazochukuwa na ndani ya muda gani ili muda huo utakapokwisha wananchi tufanye upembuzi/evaluation kujuwa how big was the results of our actions over a certain period of time.
hoja ya big results now..imejengwa katika taswira ya viongozi walio-results oriented bila ya action plans. Na kwa ulimwengu wa sasa watu wanahitaji effective actions and firm plans that will assure the best results...sisi kama wananchi hatuoni wala hatujui hizo actions ni zipi. Siamini kuwa serikali imeamua kuja na hii kaulimbiu ya big results now ili kukidhi kiu ya matokeo ya haraka kwa wanachi wake pasipokuwa mipango ya kuyapata hayo maendeleo/matokeo.
Mie ni mpenzi wa soka na timu ya taifa ya tanzania "taifa stars"..siamini kwa kauli kama hizi za big results now timu itachukuwa kombe la dunia 2018 pasipokuwapo na action plans...serikali itawaridhisha watu kwa slogans ambazo hazina njia sahihi ya kuzitekeleza na itarajie kuwa mambo yatakuwa kama yalivyotamkwa..big results now...naomba ibadilike iwe "effective actions now" na serikali iandae timu mbili za vijana from 14yrs -17yrs na iwekeze billions of money timu zipelekwe nje ya nchi ulaya na soth amerika zikajifunze soka kwa miaka isiyopunguwa mitatu kisha tushiriki michuano tukiwa na timu za vijana wenye 17yrs na 20yrs kisha tuone kama hatutopata hizo "big results na kushiriki world cup"...hii ni mojawapo kati ya maeneo madogo sana ya kuwekeza vitendo na sio maneno.
Ni hoja changanifu kwa wadau wote na wapiga zumari wa bendi ya "big results now"...heshma yako prof. Muhongo.
nimekuwa nikifuatilia hizi slogan za serikali na mbwembwe nyingi ambazo kila nikikaa na kutafakari kwa kina nashindwa kuelewa wanaoziandaa wanakuwa wakifikiria nini hasa.
Hii ya miezi kadhaa iliyopita kiimeibuka kitu kiitwacho big results now (brn), nashawishika kuamini kuwa ni mojawapo ya maazimio na kaulimbiu za kukurupuka pasi na uchunguzi au hata tafakari na tafakuri za kina kabla ya kuiwasilisha kwa hadhira ya watanzania takribani milioni 50 kwa uwingi wetu.
Nikiweka tafsiri rahisi ya kiswahili kwenye kaulimbiu hii naamini wanamaanisha "matokeo makubwa sasa", na kwa maana hii ya kiswahili ndipo misingi na dhima ya ukakasi juu ya hii kaulimbiu nimeijenga....inaeleweka na kuaminika na kila mwanadamu aishiye chini ya jua kuwa "matokeo yoyote huwa ni matunda ya matendo yaliyofanyika"...results zinatokana na actions.
Sasa basi, napenda kuwashauri wabunifu na watunzi wa hii slogan/ kaulimbiu ya big results now..warudi kwenye kazi ya awali ya kujiuliza..hizi results now zinatokana na actions zipi now?..na kama wanaongelea big positive results naamini wanatakiwa pia wafikirie effective actions ili matunda yawe possitive results.
Kama wanadhani itawawia ngumu sana kubadilisha wazo/slogani/kaulimbiu basi wafute maneno mawili ya mwanzo kwenye slogani waliyokwishaipiga mnada kwa wananchi na isomeke "effective actions now"...na waweke wazi hizo action watakazochukuwa na ndani ya muda gani ili muda huo utakapokwisha wananchi tufanye upembuzi/evaluation kujuwa how big was the results of our actions over a certain period of time.
hoja ya big results now..imejengwa katika taswira ya viongozi walio-results oriented bila ya action plans. Na kwa ulimwengu wa sasa watu wanahitaji effective actions and firm plans that will assure the best results...sisi kama wananchi hatuoni wala hatujui hizo actions ni zipi. Siamini kuwa serikali imeamua kuja na hii kaulimbiu ya big results now ili kukidhi kiu ya matokeo ya haraka kwa wanachi wake pasipokuwa mipango ya kuyapata hayo maendeleo/matokeo.
Mie ni mpenzi wa soka na timu ya taifa ya tanzania "taifa stars"..siamini kwa kauli kama hizi za big results now timu itachukuwa kombe la dunia 2018 pasipokuwapo na action plans...serikali itawaridhisha watu kwa slogans ambazo hazina njia sahihi ya kuzitekeleza na itarajie kuwa mambo yatakuwa kama yalivyotamkwa..big results now...naomba ibadilike iwe "effective actions now" na serikali iandae timu mbili za vijana from 14yrs -17yrs na iwekeze billions of money timu zipelekwe nje ya nchi ulaya na soth amerika zikajifunze soka kwa miaka isiyopunguwa mitatu kisha tushiriki michuano tukiwa na timu za vijana wenye 17yrs na 20yrs kisha tuone kama hatutopata hizo "big results na kushiriki world cup"...hii ni mojawapo kati ya maeneo madogo sana ya kuwekeza vitendo na sio maneno.
Ni hoja changanifu kwa wadau wote na wapiga zumari wa bendi ya "big results now"...heshma yako prof. Muhongo.