Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mpango utaleta mabadiliko na unaleta madadiliko, hivi hujui kama hakuna kipindi ambacho tembo wetu wanauawa kwa idadi kubwa kama kipindi hiki kuliko vipindi vingine vya kiutawala vilivyopita!!! hivi hujui kama kipindi hiki ndo rasilimali zetu za nchi kama vile madini, kutorosha wanyama kwenda nchi za nje na kujimilikisha migodi kama yao na familia zao hufanyika kwa kiasi kikubwa??? haya yote ni matokeo ya BRN.................Kuna huu mpango wa BRN serikal imeiga kutoka nchi za majuu. Swali ni kwamba kwa nature ya nchi yetu kwa ujumla tutaona mafanikio kwa muda mfup kama wanavyotaka kwel? naomben mawazo yenu wana JF.