ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Ni miezi michache tu baada ya serikali kuingiza slogan ya Big result now (matokeo makubwa sasa) ktk ofisi zake za umma.
Na sasa wameamua kuingiza ktk upande wa elimu ili kuondoa tatizo la wanafunzi kutojua stadi tatu za kkk (kusoma, kuandika, na kuhesabu) hadi wanapomaliza darasa la saba.
Je unafikiri kupitia hili tunaweza kuondoa tatizo hilo kwa watoto wetu.
Source: BBC
Na sasa wameamua kuingiza ktk upande wa elimu ili kuondoa tatizo la wanafunzi kutojua stadi tatu za kkk (kusoma, kuandika, na kuhesabu) hadi wanapomaliza darasa la saba.
Je unafikiri kupitia hili tunaweza kuondoa tatizo hilo kwa watoto wetu.
Source: BBC