eRRy JF-Expert Member Jun 12, 2009 1,125 204 Sep 21, 2009 #1 [ame="http://www.youtube.com/watch?v=7OJw_F40IOU"]http://www.youtube.com/watch?v=7OJw_F40IOU[/ame]
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Sep 21, 2009 #2 Wewe Erry84 sasa unamchokoza rafiki yangu mmoja anaitwa Burn wa humu jamvini. Huo mdomo ndo ile uswahilini kwetu tunasema anameza chapati bila kukunja!
Wewe Erry84 sasa unamchokoza rafiki yangu mmoja anaitwa Burn wa humu jamvini. Huo mdomo ndo ile uswahilini kwetu tunasema anameza chapati bila kukunja!
M mcferry Member Sep 21, 2009 9 0 Sep 21, 2009 #3 huu mdomo hana haja ya kukata kitumbua,mana atakula hivyo kama anavyo kula karanga
kanyasu JF-Expert Member Feb 9, 2009 234 18 Sep 21, 2009 #4 Jamaa anatisha, katika dunia ya sasa anatakiwa akafanye kazi mgodini ili afiche mchanga wa dhahabu kilo nzima mdomoni.
Jamaa anatisha, katika dunia ya sasa anatakiwa akafanye kazi mgodini ili afiche mchanga wa dhahabu kilo nzima mdomoni.