Big Brother Ina Manufaa Yoyote?

hekimatele

JF-Expert Member
May 31, 2011
9,884
2,781
Habari zenu wanajamii?
Kwa muda sasa miaka nenda miaka rudi kumekua na hii reality show inayoitwa Big Brother inayofanyika karibu kila mwaka katika nchi ya South Africa.
Swali ambalo limekua likinitatiza ni je, hii reality show ina manufaa gani hasa kwa mtu binafsi na hata jamii ya waafrika ituzungukayo? Kwa zaidi ya miaka mingi Afrika imekua na maadili yake yenyewe na tukiiangalia hii show kwa jinsi ilivyo hai reflect hata chembe ya maadili yetu wenyewe. Hii inaonesha jinsi itikadi na tamaduni yetu ilivyomezwa na tamaduni za kimagharibi.
Ni kweli show hii ina manufaa yoyote katika bara hili la Morikwa?
 
inamanufaa hasa kwa wauza sura wa afrika cheki mwisho cheki prezoo cheki the late goldie unanufaika kwa kujulikana zaidi duniani..
 
usingalie....ikianza wewe weka katuni za Boomerang kwenye dstv yako
 
Upotofu na vuruga vuruga za utamaduni wa kiAfrika, Wasemavyo waswahili poteza maadili yao.
Sahaulisha vizazi walipotokea.
 
He jamani kuchunguliana kuna raha yake !isitoshe a lot of cash kwa atakaye shinda!
 
Habari zenu wanajamii?
Kwa muda sasa miaka nenda miaka rudi kumekua na hii reality show inayoitwa Big Brother inayofanyika karibu kila mwaka katika nchi ya South Africa.
Swali ambalo limekua likinitatiza ni je, hii reality show ina manufaa gani hasa kwa mtu binafsi na hata jamii ya waafrika ituzungukayo? Kwa zaidi ya miaka mingi Afrika imekua na maadili yake yenyewe na tukiiangalia hii show kwa jinsi ilivyo hai reflect hata chembe ya maadili yetu wenyewe. Hii inaonesha jinsi itikadi na tamaduni yetu ilivyomezwa na tamaduni za kimagharibi.
Ni kweli show hii ina manufaa yoyote katika bara hili la Morikwa?



Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Faida zipo tena nyingi,na moja moja ni hile hali ya kuitangaza nchi,hakuna anaelazimishwa kuonesha tamadun za magharib na ilimradi kuna nchi za africa tupu,ile ndo life ya hao watu katika hali halisi na kuwepo kwa globalization kamwe mwingiliano wa tamaduni hauepukiki,apart from that si lazima kila kitu kifundishe inabaki kuwa entertaiment kwa anaetaka,kwa hali ya kawaida nivipindi vingapi vya umuhim watu wanaskip?
 
faida zipo tena nyingi,na moja moja ni hile hali ya kuitangaza nchi,hakuna anaelazimishwa kuonesha tamadun za magharib na ilimradi kuna nchi za africa tupu,ile ndo life ya hao watu katika hali halisi na kuwepo kwa globalization kamwe mwingiliano wa tamaduni hauepukiki,apart from that si lazima kila kitu kifundishe inabaki kuwa entertaiment kwa anaetaka,kwa hali ya kawaida nivipindi vingapi vya umuhim watu wanaskip?

sick....>!!
 
Mimi nashauri na Bungeni tuwekewe Camera (za CCTV) na huko wanakolalala ILI MUAMUA bIG bROTHER NA HUKO WAPI KUNA NAFUU.
YA NGOSWE MUACHIENI NGOSWE
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom