MrSocrates
Member
- Sep 29, 2017
- 46
- 30
mambo vipi wakuu
embu leo kwenye huu uzi tujuzane kidogo kuhusu hili shindano
mwaka huu lipo??
na je kwa tanzania wameshaanza usahili?
na ni vigezo vipi unatakiwa uwe navyo ili uweze kufanya usahili?
embu leo kwenye huu uzi tujuzane kidogo kuhusu hili shindano
mwaka huu lipo??
na je kwa tanzania wameshaanza usahili?
na ni vigezo vipi unatakiwa uwe navyo ili uweze kufanya usahili?