Tatzo umombo ndugu yangu, si unakumbuka yaliyomkuta Kanumba. Labda kidoogoooo Masanja hata kingereza anajua tena kwa mbalii.hivi kwa nini wasimpeleke joti au Nape
hivi kwa nini wasimpeleke joti au Nape
Huyo Lotus ni Mtanzania kweli? hilo jina lake ni balaa, halafu ana masifa hadi wakati wanaingia kwenye mjengo alianguka!!!!!! shame!!!!
Halafu kwanini wote ni wasichana?Inamaana kila nchi imepeleka washiriki wawili au Tz tu na kama ni hivyo ni kwanini ipeleke wawili na siyo nchi nyingine?!
Makamba na Tambwe Hiza ndugu hao tungepata Mshindi na 1st runerhivi kwa nini wasimpeleke joti au Nape
Makamba na Tambwe Hiza ndugu hao tungepata Mshindi na 1st runer
makamba? wangepeleka february makamba na riz1 angalau fujo zipungueMakamba na Tambwe Hiza ndugu hao tungepata Mshindi na 1st runer