Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,440
- 12,294
Ni wakati wa Mechi ya Simba na Yanga leo jumamosi Feb 16,2019.
Tukio limetokea wakati kapteni wa Yanga Ajib anawatambulisha wachezaji wake kwa mgeni rasmi alipofika kwa Yondani akagoma kupokea mkono wa salam kutoka kwa kapten na kukimbilia kuushika mkono wa mgeni rasmi, bahati nzuri tukio limenaswa vizuri sana na Camera za Azam tv.....
Kuna jambo haliko sawa hapa inabidi litaftiwe ufumbuzi mapema sana katika harakat za kuwania ubingwa.
Tukio limetokea wakati kapteni wa Yanga Ajib anawatambulisha wachezaji wake kwa mgeni rasmi alipofika kwa Yondani akagoma kupokea mkono wa salam kutoka kwa kapten na kukimbilia kuushika mkono wa mgeni rasmi, bahati nzuri tukio limenaswa vizuri sana na Camera za Azam tv.....
Kuna jambo haliko sawa hapa inabidi litaftiwe ufumbuzi mapema sana katika harakat za kuwania ubingwa.