Wasanii wa bogo vituko vingi.
ah ah si nilisoma kwe makorokocho h baba kamalizia kuwa uwoya amezoea kuliwa kiboga ndo maana alimuacha?
kwa Lugha ya kimjinimjini tunasema Uwoya ana kizibo cha Konyagi na si cha Soda
kwa Lugha ya kimjinimjini tunasema Uwoya ana kizibo cha Konyagi na si cha Soda
Mfa maji haishi kutapatapa...... Uwoya hebu tulia dada, kaa chini fikiri wapi ulipoanguka, rudi kwa mmeo acha kuangaika, muda unakutupa mkono... itafika kipindi hata wa kukusalimia hataonekana.
Mkuu kwani uyu Irine aliachika??Uwoya amchana live mpenzi wa Flora Mvungi i.e H-baba kwamba hafai katika mapenzi kwa sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6. Flora Mvungi naye akaja juu na kudai kwamba maneno ya Uwoya ni maneno ya mkosaji na akadai zaidi kwamba H-baba hana tatizo katika mapenzi na yuko fiti ile mbaya.Wakati malumbano yakiendelea,dada mmoja akapiga simu clouds fm,akakataa kutaja jina lake lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-baba si lolote si chochote katika ulingo wa ma-lovey dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tu.Haya ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo.