Bifu la uwoya na Flora mvungi kupitia XXL ya B12.

Duuuuuuu......... Sasa Flora yeye si karidhika? Irene analia nini?
 
du! Kichwa kinauma... Uwoya H.baba hajui mapenzi.....H.baba Uwoya amezoa kuliwa kiboga na kuchoropoa mimba.....shabiki ?????????
 
H Baba mwenyewe anaewaumiza kichwa mpolipoli kichizi...kuvaa kwenyewe anavaa kama bitoz Nyangema......yani hadi leo hii bado anavaa supra msukuma yule,kweli msukuma msukume aludi kwao mwanza!!!
 
ah ah si nilisoma kwe makorokocho h baba kamalizia kuwa uwoya amezoea kuliwa kiboga ndo maana alimuacha?

mkuu umeniacha kidogo hapo kiboga maana yake nini? maana nimecheki hata kwenye kamusi halipo hili neno.
 
Mfa maji haishi kutapatapa...... Uwoya hebu tulia dada, kaa chini fikiri wapi ulipoanguka, rudi kwa mmeo acha kuangaika, muda unakutupa mkono... itafika kipindi hata wa kukusalimia hataonekana.
 
Bado sijaona supastaa bongo!! Kwakweli pesa yao bado ndogo sana
 
Mfa maji haishi kutapatapa...... Uwoya hebu tulia dada, kaa chini fikiri wapi ulipoanguka, rudi kwa mmeo acha kuangaika, muda unakutupa mkono... itafika kipindi hata wa kukusalimia hataonekana.

hongera bidada umemshauri vema huyo
 
Uwoya amchana live mpenzi wa Flora Mvungi i.e H-baba kwamba hafai katika mapenzi kwa sababu hana stamina katika uwanja wa 6 kwa 6. Flora Mvungi naye akaja juu na kudai kwamba maneno ya Uwoya ni maneno ya mkosaji na akadai zaidi kwamba H-baba hana tatizo katika mapenzi na yuko fiti ile mbaya.Wakati malumbano yakiendelea,dada mmoja akapiga simu clouds fm,akakataa kutaja jina lake lakini naye akazidi kuchagiza kwamba H-baba si lolote si chochote katika ulingo wa ma-lovey dovey,ana mbwembwe za kukata viuno jukwaani tu.Haya ndio mapenzi ya ma-star wa ki-bongo.
Mkuu kwani uyu Irine aliachika??
 
Wana shida sana hawa wasanii wetu...flora akuwa na haja ya kujibizana na irene juu ya mmewe...amwache tu...
 
wanatakiwa wajifunze namna ya kuzungumza kwenye media cuz vitu wanavyoongea haviendani kabisa na hadhi zao,pia wao hujiita kioo cha jamii,sasa sijui hiyo jamii itajifunza nini kutoka kwao,hizi ni simanzi tu kwa wazazi wao jamani.
 
Back
Top Bottom