Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,990
Nitake radhi, mimi na Wasafi wapi na wapi?Wafuasi wa WCB wakipongezanza baada ya vita kubwa ya kumtetea Rayvanny.
Mkuu una juhudi sana, hongera sana kwa mapambano.
Mimi ni mutu ya Rhumba, niambie kuhusu Boss ya Mboka Papaa Fololo, Ngwasuma, Twanga, huku Nyoshi el saadat na Bogis hizo ndio mambo zangu.
Mambo ya ubongo wa fleva tumewaachia vijana.
Atleast Banana Zoro na Christian Bella hawa ndio best vocalist wangu.