Wote wamechemsha ila Salam amechemsha zaidi, video clip aliyohojiwa P Funk amezungumza vizuri tu, shida inaanza pale alivyomjibu Baba Level kwa kuanza kwa mifano ya kutaja majina na namna ya walivyokandamizwa (kuna harufu ya kuharibu biashara za watu wakati wahusika wenyewe hawajawi kulalamika popote kwamba wanakandamizwa)Ambacho sijapenda ni Salam kuingiza personal attack Kwa Majan
.
hao waliotoka wcb unawatetea kwasababu wanakulelea binti yako na mke wako wa zamani
.
Sio kauli NZuri yeye angejibu Hoja ya Majani with vivid evidence na Sio personal attacking Kwa mleta Hoja
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
P-Funk anamwambia Salam "WCB inanyonya wasanii Rayvany kasepa, Harmonaiz nae kasepa.",
Salam akamjibu Majani,,,"hao waliotoka WCB unawatetea kwasababu wanakulelea binti yako na mke wako wa zamani
Salam kapiga kwenye mshono
Hivi unajua heshima ni bidirectional?
Jinsi unavyo behave na ndivyo watu watakavyo watakuchukulia.
Huwezi kuizungumzia biashara ya mtu vibaya kisa tuu kukataa kumpa promo msanii wako halafu akuachie.Wasafi ni brand ya kibiashara ukiizungimzia vibaya utajibiwa.
Mfano nyayua mdomo wako sasa hivi halafu uongee vitu visivyo na evidence kwa brand za Tigo,Vodafone nk halafu uone watakufanya nini?
Kwa hiyo unataka kila mtu akiropoka ajibiwe? Kesho na Mwijaku akiongea ajibiwe,keshokutwa Mange ane ajibiwe?Manake itakuwa mipasho kwa hoja ambazo hazina reference.Sallam Wasafii ni biashara yake sababu yeye Manager wa Diamond na WCB so anahaki ya kuitetea brand.kwahiyo wasafi ni biashara ya sallam na baba levo
kampuni haiendeshi mambo yake kihuni namna hiyo.
sasa hapa tunatafsiri msimamo wa sallam na baba levo kama msimamo wa kampuni nzima ya WCB,kumbe wamejibu baada ya kuona wanaweza kujibu,baada ya kupigwa na hoja.
Mwamba umeupiga mwingi akikujibu nitagKwa hiyo unataka kila mtu akiropoka ajibiwe? Kesho na Mwijaku akiongea ajibiwe,keshokutwa Mange ane ajibiwe?Manake itakuwa mipasho kwa hoja ambazo hazina reference.Sallam Wasafii ni biashara yake sababu yeye Manager wa Diamond na WCB so anahaki ya kuitetea brand.
Kwanza huyo jamaa ana hoja zipi, ana documents yoyote?Hivi unatizama bunge, mbunge akiongea tuhuma zozote bila reference yoyote au ushahidi wanamfanya nini? Hii ni biashara kama ilivyo kwa Tigo,Voda nk hivi mfano leo uizungumzie vibaya TIGO au VODA halafu una ushahidi unazani watakuacha.
Sema tu WCB wanamuheshimu hivi leo wakifungua kesi mahakamani ya kumwambia approve alicho kiongea kama akishindwa awalipe fidia WCB unazani huyo Majani atakuwa na hali gani.
Yote tisa kumi yy kawafanyia nini wasanii waliokuwa chini ya Label yake, wana hatimiliki ya nyimbo zao? Manake COSOTA nilimuona mpunga akienda kuchukua pekee, unaweza ukakuta Ugali na history ya Juma Nature ana haki nazo.
Kumfanya msanii awike mpaka nje ya EA ukazani ni kazi ndogo, kuna wasanii wapo lwenye label nyingine wana nyimbo zaid ya 30,EP zaidi ya mbili still hata show za ndani kupata kazi,ushajiuliza why.Yeye mwenyewe yupo na Raptcha zaidi ya miaka mitatu kamfikisha wapi,why anashindwa?Hajafikia hata level za akina Young D au Msodoki.
Alichokizungumza Pfunk sio facts unaona kabisa ina chuki ndani yake na ndio maana hata sallam akumjibu kwa factshuyo mwarabu koko ana uswahili mwingi mno,kaambiwa ukweli amepaniki.
Alichokizungumza Pfunk sio facts unaona kabisa ina chuki ndani yake na ndio maana hata sallam akumjibu kwa facts
kwenye iyo kesi P Funk alilipwa hela kutokana na mdundo(beat) sio nyimbo nzimaya Nikisaidieje kutumika na movie moja US, Prof alimpa ngapi?Mpaka kufikia level ya Prof kusambaza bakuli kwa ajili ya matibabu
Kwa navyojuwa Sallam SK sio msemaji wa WCB ila ni manager ambaye kaajiliwa na Diamond so diamond ndio angekuwa na majibu sahihi ila jamaa sio mtu wakumjibu kila mtukama hakuongea kwa fact na akajibiwa bila fact,zinakuwaje intrest za lebel???
iliyoshutumiwa ni lebel nzima,anajibu sallam.
kuitetea brand sio kuropoka.Kwa hiyo unataka kila mtu akiropoka ajibiwe? Kesho na Mwijaku akiongea ajibiwe,keshokutwa Mange ane ajibiwe?Manake itakuwa mipasho kwa hoja ambazo hazina reference.Sallam Wasafii ni biashara yake sababu yeye Manager wa Diamond na WCB so anahaki ya kuitetea brand.
hana ushahidi umejuaje???wewe unafikiri pfunk ni mgeni wa mambo ya kisheria ndugu???kama wanahisi wamechafuka wafungue kesi lakini sababu yaliyosemwa yamewagusa ndio sababu unaona bondia anang'ata.Kwanza huyo jamaa ana hoja zipi, ana documents yoyote?Hivi unatizama bunge, mbunge akiongea tuhuma zozote bila reference yoyote au ushahidi wanamfanya nini? Hii ni biashara kama ilivyo kwa Tigo,Voda nk hivi mfano leo uizungumzie vibaya TIGO au VODA halafu una ushahidi unazani watakuacha.
si wewe wala mimi tunaojua kama hata ushahidi.unajua majani sio mwehu mpaka aseme hayo.Sema tu WCB wanamuheshimu hivi leo wakifungua kesi mahakamani ya kumwambia approve alicho kiongea kama akishindwa awalipe fidia WCB unazani huyo Majani atakuwa na hali gani.
umesoma huko juu,kama hutaki ni kiburi.Yote tisa kumi yy kawafanyia nini wasanii waliokuwa chini ya Label yake, wana hatimiliki ya nyimbo zao? Manake COSOTA nilimuona mpunga akienda kuchukua pekee, unaweza ukakuta Ugali na history ya Juma Nature ana haki nazo.
hii ni biashara sio msaada.kama unalipwa 60% kwanini uone ni kazi kumtangasa EA!!!Kumfanya msanii awike mpaka nje ya EA ukazani ni kazi ndogo
wanalipa 60%??, kuna wasanii wapo lwenye label nyingine wana nyimbo zaid ya 30,
EP zaidi ya mbili still hata show za ndani kupata kazi,ushajiuliza why.
Yeye mwenyewe yupo na Raptcha zaidi ya miaka mitatu kamfikisha wapi,why anashindwa?Hajafikia hata level za akina Young D au Msodoki.
labda ndio kazi inayomuweka hapo kujibu watu pumba,zikihitajika.Kwa navyojuwa Sallam SK sio msemaji wa WCB ila ni manager ambaye kasajiliwa na Diamond so diamond ndio angekuwa na majibu sahihi ila jamaa sio mtu wakumjibu kila mtu
Sasa P Funk na Sallam nani karopoka?Yaani niizungumzie biashara yako ww halafu mimi nionekane najua kililo wewe si uwehu huu.kuitetea brand sio kuropoka.
hana ushahidi umejuaje???wewe unafikiri pfunk ni mgeni wa mambo ya kisheria ndugu???kama wanahisi wamechafuka wafungue kesi lakini sababu yaliyosemwa yamewagusa ndio sababu unaona bondia anang'ata.
si wewe wala mimi tunaojua kama hata ushahidi.unajua majani sio mwehu mpaka aseme hayo.
umesoma huko juu,kama hutaki ni kiburi.
kwamba katika kila wimbo kuna haki ya aliyetengeneza beat,kama anachukua zote mpaka za wasanii na COSOTA wanamkabidhi,hilo sio swala lako wala WCB mwachie majani mwenyewe.
hii ni biashara sio msaada.kama unalipwa 60% kwanini uone ni kazi kumtangasa EA!!!
wanalipa 60%??
Kwenye ile michaato ya malipo ya COSOTA siku waona wasanii wengi tu wa bongo records.Kama hujui ktk hii issues kulikuwa na mjadala mkubwa mpaka Master akalalamika ktk mgawanyo wazalishaji hawakulipwa nazani mpaka hapa ndipo utajua kuna baadgi ya nyimbo za bongo records ,zina milikiwa label 100%.kwenye iyo kesi P Funk alilipwa hela kutokana na mdundo(beat) sio nyimbo nzima
Kajala ndo ametokea kwa Majani. Umaarufu ulizidi alipokuwa secretari au office attendant wake...kila msanii alikuwa anafahamiana na Kajala...Majani atulie tu na yeye mbona master j hana maneno
Mbona na yeye kamnyonya kajala mpaka kamzalisha tena akiwa teen
sallam sk ndiye karopoka.hakujibu hoja iliyoletwa na P.yaani ni bora hata baba level kajaribu kumrudishia lawama kwa aliyoyafanya pia.Sasa P Funk na Sallam nani karopoka?
Yaani niizungumzie biashara yako ww halafu mimi nionekane najua kililo wewe si uwehu huu.
mimi nalalamika!!!Sasa unakataa nini na unakubali nini,haafu unalalamika WCB wana wana wanyonya
elewa kwanza unachojibu nawewe usiwe kama sallam.sijasema ya majani aachiwe majani."umesoma huko juu,kama hutaki ni kiburi.
kwamba katika kila wimbo kuna haki ya aliyetengeneza beat,kama anachukua zote mpaka za wasanii na COSOTA wanamkabidhi,hilo sio swala lako wala WCB mwachie majani mwenyewe."
Kwa hiyo maswala ya Majani wa mwachie Majani na ya WCB wa mwachie pia Majani na ajibiwe kisa Majani kasema?
yeye anatoa % ngapi??"hii ni biashara sio msaada.kama unalipwa 60% kwanini uone ni kazi kumtangasa EA!!!"
Kumbe unajua ni biashara sasa unamlaumu vipi Sallam kutetea biashara aliyopewa kazi ya kuimeneji.
kama ni kweli vina mchanga!!!!Mfano mdogo nenda sehemu ya hadhara halafu sema vitumbua vya mama fulani vina michanga
hiki ni kichaa kama cha sallam,kudai mtu na mume mwenzie wanaweza teteana kwa mwanamke mmoja.halafu,hauna ushahidi
kama wana akili wataondoa michanga.uone huyo mama na watoto wanaotegemea kula kupitia vitumbua uone watakufanya nini.
Kwa kesho Mange naye akiongea ajibiwe? Mwijaku naye akiongea ajibiwe? Fulani.....X....y....z akiongea ajibiwe?sallam sk ndiye karopoka.hakujibu hoja iliyoletwa na P.yaani ni bora hata baba level kajaribu kumrudishia lawama kwa aliyoyafanya pia.
mimi nalalamika!!!
elewa kwanza unachojibu nawewe usiwe kama sallam.sijasema ya majani aachiwe majani.
hoja ya majani ni wasanii kuondoka,huwenda anaipenda WCB kuliko nyinyi chawa mizigo mliopo kwa manufaa yenu hapo,anaumia kuona wasanii wanaoijenga WCB wanaondoka kisa mambo yanayoweza kurekebishwa.
yeye anatoa % ngapi??
kama ni kweli vina mchanga!!!!
hiki ni kichaa kama cha sallam,kudai mtu na mume mwenzie wanaweza teteana kwa mwanamke mmoja.
kama wana akili wataondoa michanga.
hivi ndivyo kampuni kubwa na zinazoendeshwa kitaalam hufanya.Kwa kesho Mange naye akiongea ajibiwe? Mwijaku naye akiongea ajibiwe? Fulani.....X....y....z akiongea ajibiwe?
kwahiyo majani alitakiwa aonyeshe mkataba pale kwenye interview!!kama hajauonyesha basi anachoongea hakina ukweli😀😀😀Hoja ina ubora upi kutoka ktk reference za uhakika zipi?
Hivi umeiagalia interview Bongo 5,mtu anayetaka kujenga haongei vile,nimeitizama Intvw yake. Yaani naongea ulicho kiongea ww unasema mimi chawa,yaani wengine mlivyo kama SIGARA KAL
eti eh!!!!kwa sababu anapika vitumbua halafu yeye hali kujua kama vina kasoro??Kama kweli vina mchanga unatakiwa ukibebe kile kitumbua chenye mchanga then unamwambia huku ukiwa umekishika,sasa ww unaongea vitumbua vyako vina mchanga maneno matupu kama yale ya kwenye Khanga.
alichofanya sallam ni kibaya zaidi,hutakiwi kujibu maswala ya kampuni na biashara kihuni na kiswahili namna ile,haijalishi aliyeongea ni nani na kaongeaje.Unamuattack mtu hasa biashara yake husitegemee kama atachagua la kukujibu lolote lilo karibu yake ataliongea na hata kwenda mbali zaidi swala la kupima mtapima nyie.
Unamkemea vipi meneja anaye isimamia hiyo brand?hivi ndivyo kampuni kubwa na zinazoendeshwa kitaalam hufanya.
sasa hapo msemaji wa mwisho ni huyo msomali.nani wa kumkemea??
kwahiyo majani alitakiwa aonyeshe mkataba pale kwenye interview!!kama hajauonyesha basi anachoongea hakina ukweli😀😀😀
eti eh!!!!kwa sababu anapika vitumbua halafu yeye hali kujua kama vina kasoro??
alichofanya sallam ni kibaya zaidi,hutakiwi kujibu maswala ya kampuni na biashara kihuni na kiswahili namna ile.