Pass Master
Member
- Sep 18, 2020
- 94
- 58
Mkali wa Muziki tokea nchini Nigeria 🇳🇬 @davidoofficial , amewashukia Mastaa Wenzake @wizkidayo na @burnaboygram kwa kusema kuwa wanaungana ili kutaka kushinda nae Lakini hawatoweza kufanikiwa kwa hilo .
Akizungumza na kituo kimoja cha TV nchini Nigeria, Davido amesema alijitahidi sana kuepuka Bifu baina yake na Burna Boy Pamoja na Wizkid , ila wawili hao wameendelea kumchukia bila sababu ya msingi .
“Unajua Burna Boy alikasirishwa na mimi kupost picha nikiwa na Wizkid Instagram. Mtu wake wa Karibu kabisa aliniambia kuwa @burnaboygram hakupendezwa na Picha ile . Na sasa ivi yeye Pamoja na Wizkid wameungana ili kushindana na mimi Lakini nawambia hawatafanikiwa kwa hilo “ - alisema @davidoofficial katika mahojiano hayo .
Mpaka hivi sasa si @wizkidayo wala @burnaboygram aliyeweza kujibu Mashambulizi ya kauli hii , ambayo kimsingi imeibua Bifu upya kati ya Marshall hawa watatu wa Muziki nchini Nigeria.
Maneno ya Davido yako kwamba Wiz,Burnaboy hawamuwezi
Akizungumza na kituo kimoja cha TV nchini Nigeria, Davido amesema alijitahidi sana kuepuka Bifu baina yake na Burna Boy Pamoja na Wizkid , ila wawili hao wameendelea kumchukia bila sababu ya msingi .
“Unajua Burna Boy alikasirishwa na mimi kupost picha nikiwa na Wizkid Instagram. Mtu wake wa Karibu kabisa aliniambia kuwa @burnaboygram hakupendezwa na Picha ile . Na sasa ivi yeye Pamoja na Wizkid wameungana ili kushindana na mimi Lakini nawambia hawatafanikiwa kwa hilo “ - alisema @davidoofficial katika mahojiano hayo .
Mpaka hivi sasa si @wizkidayo wala @burnaboygram aliyeweza kujibu Mashambulizi ya kauli hii , ambayo kimsingi imeibua Bifu upya kati ya Marshall hawa watatu wa Muziki nchini Nigeria.
Maneno ya Davido yako kwamba Wiz,Burnaboy hawamuwezi