Kapicha mkuuDon Masha ni mwanamke alobarikiwa matiti kuliko wanawake wote duniani........
Kapicha mkuuDon Masha ni mwanamke alobarikiwa matiti kuliko wanawake wote duniani........
Ila wanaume wa Dsm baadhi yenu mchele mchele sanaHuhuhuh sawa usijar
Unga unga pia.Ila wanaume wa Dsm baadhi yenu mchele mchele sana
Bwana bwana wee hii nchi hii inavituko sanaIla wanaume wa Dar ni shiida, huyo Kumbuka anaongea balaaa.
Na naona siku hizi ukiwa muongeaji sanaaa hukosi kazi ya utangazaji
Dogo hujambomie nimecheka hadi baas, afu nilijua tyuuuh binamu huu umbea ukiuona lazima uulete huku lol.
Ila bidada nae ana huruma khaaaah hadi kumbuka na mtoto juu hahahahah.
Boflo kiaje Boss? 🤔Dr Kumbuka naona kama BOFLO flani hivi.
Ndoa ya mataahiraLeo nimecheka wanazengo nikabaki tu namuonea huruma huyo mtoto aliyezaliwa na Masha na Kumbuka kama ni kweli.
Hivi hawa ni kweli au ndio kutafutia Kiki mjini , lol... Ila nakumbuka kipindi cha nyuma, Masha alishawahi kukiri kutoka na Kumbuka na akasema kazi anaiweza vizuri tu sema walishindwa kwa ajili ya mdomo, kumbuka anachambana sana, ila sasa hili la kuzaa na Kumbuka Ndo jipya kwangu, kumbe wana mtoto.
Bidada kacharuka insta anadai kumbuka hatoi pesa ya matumizi ya mtoto amechoka.
Yani hapa nikimfkiria Masha alivyo, na Dr. Kumbuka mbavu zinauma khaa, kumbe shostito ana huruma hvyo.
View attachment 1551397
Mchele Mchele aka BwabwaBoflo kiaje Boss? 🤔
Hata yeye anapelekewa pia,Dr Kumbuka anapeleka moto kumbe? Nilijua wanampelekea yeye!
Hapo sawa maana jamaa jinsi alivyo yaani ni full james delicious.Hata yeye anapelekewa pia,
Ila nyie watu wafukunyuku lol.Hapo sawa maana jamaa jinsi alivyo yaani ni full james delicious.