mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 15,990
- 35,670
Bila ubishi kwa miaka kama kumi Kariakoo ilijipatia umaarufu kwa biashara hususani nguo, maduka yaliota kama uyoga, wafanyabiashara kutoka nchi jirani walikuja kufuata mzigo Kariakoo.
Siri kubwa kuna kampuni ilikuwa inawaletea mizigo toka china kwa bei ya kutupa, sasa tangu kampuni hiyo ijifanye imekufa na bandarini kukomaa na kodi, bei ya bidhaa hususan nguo zimepanda sana. Je huu ndio mwisho wa umaarufu wa Kariakoo?
Siri kubwa kuna kampuni ilikuwa inawaletea mizigo toka china kwa bei ya kutupa, sasa tangu kampuni hiyo ijifanye imekufa na bandarini kukomaa na kodi, bei ya bidhaa hususan nguo zimepanda sana. Je huu ndio mwisho wa umaarufu wa Kariakoo?