Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,436
- 113,445
Wanabodi, kuna ule msemo wa Kiswahili usemao, "Kizuri Kula Na Mwenzio"!.
Wengi wa sisi Watanzania ni "wachoyo", vitu vizuri tunapenda kula wenyewe tuu!, hatupendi kuwashirikisha wenzetu!, ndio maana utakuta Watanzania wenye mafanikio ya ukweli ni wachache na hawapendi kuweka wazi siri za mafanikio yao ili na wengine wasifanikiwe kama wao!.
Sasa mimi nimeamua kujitolea kuwamegea nanyi wenzangu kizuri hiki ili usiendelee kudanganywa kwa kutojua, labda tuu muendelee kudanganywa kwa kupenda wenyewe!.
Kizuri hiki ni kuhusu uibora wa bidhaa za ukweli kutoka nchini Uturuki. Watanzania tumekuwa tukiuziwa bidhaa za ubora wa hali ya chini sana kutoka China, na nyingi ya bidhaa hizo zikiwa ni fake!.
Sasa ili kuzitambua bidhaa fake, kwanza ni lazima utambue bidhaa za ukweli ndipo utangamanishe na hizo fake, ukiendelea kuzikumbatia fake, angalau uzukumbatie huku ukijua kuliko hali ilivyo sasa, wengi wananunua bidhaa za fake kwa kutokujua!.
Watanzania sasa tumepatiwa fursa za kutambua bidhaa za ukweli kutoka nchini Uturuki katika maonyesho ya siku 3 ya bidhaa kutoka nchini Uturuki yatakayofanyika kuanzia kesho mpaka Jumamosi, ndani ya Uwanja wa Saba Saba kuanzia saa 4:00 asubuhi -1:00 usiku.
Wana jf wenzangu mnaopenda bidhaa za ukweli, karibuni sana, tukutane pale, kwa mfano mimi ni mdau mkubwa sana wa vazi la suti, kuanzia za mtumba, za Mchina, za Mzungu na sasa za Mturuki!.
Jijini Dar, maduka wanaoleta suti za ukweli, ukiondoa AK's na Famozo pale JM Mall, hawa wengine wengi including majina makubwa akiwemo Mwasu, Marriedo, yule dada pale pembeni ya Best Bite, na maduka fulani fulani ya imported suits ndio wanaoleta genuine piece by piece na famba ndani yake!. Hizi suti za Uturuki zote ni suti kweli na kitu kizuri zaidi, hazina bei!.
Kuanzia kesho mpaka Ijumaa, nitajitolea ku run TV series za program 4 dedicated kwenye maonyesho haya ili angalau nyinyi mlioko majumbani mpate japo picha kwa kutokufika Saba Saba, what will you be missing!.
Please be there!
Karibu Sana
Pascal.
Wengi wa sisi Watanzania ni "wachoyo", vitu vizuri tunapenda kula wenyewe tuu!, hatupendi kuwashirikisha wenzetu!, ndio maana utakuta Watanzania wenye mafanikio ya ukweli ni wachache na hawapendi kuweka wazi siri za mafanikio yao ili na wengine wasifanikiwe kama wao!.
Sasa mimi nimeamua kujitolea kuwamegea nanyi wenzangu kizuri hiki ili usiendelee kudanganywa kwa kutojua, labda tuu muendelee kudanganywa kwa kupenda wenyewe!.
Kizuri hiki ni kuhusu uibora wa bidhaa za ukweli kutoka nchini Uturuki. Watanzania tumekuwa tukiuziwa bidhaa za ubora wa hali ya chini sana kutoka China, na nyingi ya bidhaa hizo zikiwa ni fake!.
Sasa ili kuzitambua bidhaa fake, kwanza ni lazima utambue bidhaa za ukweli ndipo utangamanishe na hizo fake, ukiendelea kuzikumbatia fake, angalau uzukumbatie huku ukijua kuliko hali ilivyo sasa, wengi wananunua bidhaa za fake kwa kutokujua!.
Watanzania sasa tumepatiwa fursa za kutambua bidhaa za ukweli kutoka nchini Uturuki katika maonyesho ya siku 3 ya bidhaa kutoka nchini Uturuki yatakayofanyika kuanzia kesho mpaka Jumamosi, ndani ya Uwanja wa Saba Saba kuanzia saa 4:00 asubuhi -1:00 usiku.
Wana jf wenzangu mnaopenda bidhaa za ukweli, karibuni sana, tukutane pale, kwa mfano mimi ni mdau mkubwa sana wa vazi la suti, kuanzia za mtumba, za Mchina, za Mzungu na sasa za Mturuki!.
Jijini Dar, maduka wanaoleta suti za ukweli, ukiondoa AK's na Famozo pale JM Mall, hawa wengine wengi including majina makubwa akiwemo Mwasu, Marriedo, yule dada pale pembeni ya Best Bite, na maduka fulani fulani ya imported suits ndio wanaoleta genuine piece by piece na famba ndani yake!. Hizi suti za Uturuki zote ni suti kweli na kitu kizuri zaidi, hazina bei!.
Kuanzia kesho mpaka Ijumaa, nitajitolea ku run TV series za program 4 dedicated kwenye maonyesho haya ili angalau nyinyi mlioko majumbani mpate japo picha kwa kutokufika Saba Saba, what will you be missing!.
Please be there!
Karibu Sana
Pascal.