TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Habari wakuu?
nimeliweka hili kwenu tuweze kulijadili kwamapana yake bidhaa mafano Mafuta, ya kula na Sukari zinapatika kwa bei nafuu kuliko hapa Tanganyika viwanda vyetu vya hapa Tanganyika wanapata wapi ugumu wakuzalisha hizi bidhaa Hadi bei iwe juu zaidi kuliko Zanzibar wakati kule hawana viwanda wanatumia kuagiza kutoka nnje
Na kwanini Serkali ya Tanganyika wanapiga marufuku bidhaa hizi zisivuke kuangia huku kwetu wakati bei ingekua cheap zaidi na ingetoa hafueni
Wafanya biashara wahizi bidhaa wanapata wakati mgumu sana kutokana na maslahi yao wanachukua kama bidha haramu kutoka Zanzibar nawakikamtwa namamlaka zatanganyika wanapigwa faini au kuchomwa Moto nakutiwa hasara
Kwanini hili linaendelea kutokea wakati hii nnchi moja inatwa Tanzania kwanini wasiache competition yakibiashara ili watumiaji wanufaike na unafuu wabei
nimeliweka hili kwenu tuweze kulijadili kwamapana yake bidhaa mafano Mafuta, ya kula na Sukari zinapatika kwa bei nafuu kuliko hapa Tanganyika viwanda vyetu vya hapa Tanganyika wanapata wapi ugumu wakuzalisha hizi bidhaa Hadi bei iwe juu zaidi kuliko Zanzibar wakati kule hawana viwanda wanatumia kuagiza kutoka nnje
Na kwanini Serkali ya Tanganyika wanapiga marufuku bidhaa hizi zisivuke kuangia huku kwetu wakati bei ingekua cheap zaidi na ingetoa hafueni
Wafanya biashara wahizi bidhaa wanapata wakati mgumu sana kutokana na maslahi yao wanachukua kama bidha haramu kutoka Zanzibar nawakikamtwa namamlaka zatanganyika wanapigwa faini au kuchomwa Moto nakutiwa hasara
Kwanini hili linaendelea kutokea wakati hii nnchi moja inatwa Tanzania kwanini wasiache competition yakibiashara ili watumiaji wanufaike na unafuu wabei