Haha Sawa babaMkuu,
Mbona na hiyo friji anayoiuza milioni 8 na nusu haujamchana ukweli kuwa kibongobongo hatoboi?
uyu so muuzaji achana nae
Sawa kakaVitu vya Dubai havina maana kabisa. Yani kitu kimetumiwa na waarabu?
Lool . AhsanteUkitaka kula ukubali kuliwa sasa wanaotafuta fursa za biashara umeseme waende google na wew si uende uko google ukatafute wateja roho mbaya aijengi na dubai ilikua zamani sasa kaa na huo uchafu wako atununui na atukuulizi kitu.
I have a lot of them, AlhamdulilahUkitaka wateja nenda google
Mkuu gazeti Bandar moja ni elfu thelathini, Mzigo saafi kabisaMim nataka magazeti mdau
Hv bandari moja ya magazeti ndo inakuwa kilo ngapi mkuu??mi mgeni kidogoMkuu gazeti Bandar moja ni elfu thelathini, Mzigo saafi kabisa View attachment 1202084
Tulia tujenge nchi kwanza mkuu. Tunafanya jalala at the same time tunaleta brand new. Choice ni yako BahariaYaani hayo mauchafu mmeyafunga kwenye mafurushi ndio mnatuletea huku bongo! Kweli mmeamua kuifanya hii nchi jalala
Bundle sio . 35 mkuu ila zipo tofautHv bandari moja ya magazeti ndo inakuwa kilo ngapi mkuu??mi mgeni kidogo
HABARI WAPENDWA NATUMAI WAZIMA NYOTE.
Agiza chochote kutoka UAE kwa bei nafuu. Gari, used mobile, Smart TV, Baibui, magazeti. Matairi yaliyo tumika kwa bei nafuu zaidi kuliko sehemu yoyote ile duniani.
NB: MNAOTAKA KAZI SITOJIBU...MNAOTAKA KUFAHAMISHWA KUFANYA BIASHARA PLEASE USE GOOGLE AND YOU TUBE. NITAFUTE KWA BIASHARA TU. ITIFAKI IZINGATIWE.
+255692119300 WhatsApp only
Ahsante View attachment 1201514View attachment 1201515View attachment 1201516View attachment 1201517View attachment 1201518View attachment 1201519