tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Katika hali ya kusikitisha bidhaa kama vile sukari na nyinginezo zimepanda bei na kufanya maisha kuwa magumu kupindukia.
Jambo la kusikitisha ni kwamba serikali haichukui hatua yoyote na hivyo wananchi kuendelea kuteseka. Hata inapotokea serikali kutoa tamko la kushusha bei ya bidhaa, bei mpya hudumu kwa siku chache kama ilivyowahi kutokea katika bei ya sukari na mafuta.
Wasiwasi wangu ni kwamba pengine muda wa kuchapana viboko umekaribia kama alivyosema waziri mkuu Mh. Pinda majuzi alipokuwa Korogwe.
Jambo la kusikitisha ni kwamba serikali haichukui hatua yoyote na hivyo wananchi kuendelea kuteseka. Hata inapotokea serikali kutoa tamko la kushusha bei ya bidhaa, bei mpya hudumu kwa siku chache kama ilivyowahi kutokea katika bei ya sukari na mafuta.
Wasiwasi wangu ni kwamba pengine muda wa kuchapana viboko umekaribia kama alivyosema waziri mkuu Mh. Pinda majuzi alipokuwa Korogwe.