Biden-Trump 2020 Confusion Matrix

Utaona kwamba kuanzia OP, tuliweka wazi kwamba tusiofungamana na upande wowote tunafuatilia uchaguzi wa Marekani kama tunaotazama muvi. Hii ni kwa vile matukio yote tunayasikia kupitia matangazo ya masafa. Kwa hiyo mkuu BAK tujalie maelezo mahsusi mintarafu namba 1. mpaka 7. kama zilivyonukuliwa hapo juu, ili kutujuza yanayojiri kwa ukaribu zaidi, ikiwa utaona vema kufanya hivyo au ikikupendeza.
 
Narudia tena kuna jukwaa la vichekesho. Hao waliokufa kutokana na hili sakata wangekuwa wanakuhusu kwa namna moja au nyingine usingeandika huo upuuzi wako. Mijadala tuipe uzito unaostahili au peleka kwenye vichekesho.
Utaona kwamba kuanzia OP, tuliweka wazi kwamba tusiofungamana na upande wowote tunafuatilia uchaguzi wa Marekani kama tunaotazama muvi. Hii ni kwa vile matukio yote tunayasikia kupitia matangazo ya masafa. Kwa hiyo mkuu BAK tujalie maelezo mahsusi mintarafu namba 1. mpaka 7. kama zilivyonukuliwa hapo juu, ili kutujuza yanayojiri kwa ukaribu zaidi, ikiwa utaona vema kufanya hivyo au ikikupendeza.
 
Narudia tena kuna jukwaa la vichekesho. Hao waliokufa kutokana na hili sakata wangekuwa wanakuhusu kwa namna moja au nyingine usingeandika huo upuuzi wako. Mijadala tuipe uzito unaostahili au peleka kwenye vichekesho.
Kwa nini unaona hayo yaliyoandikwa ni vichekesho? Kwani kila muvi ni ya vichekesho?
 
Kuweka kumbukumbu sawa:

Tuesday at 7:16 PM

Ndiyo posti iliyokuwa inatarajia matukio ya kesho yake (tarehe 06 Januari 2021) na siku zinazofuata kuwa matukio muhimu kwenye muvi ya uchaguzi wa Marekani 2020.
 
Dalili za kushindwa hoja zipo za aina nyingi, lakini ile maarufu sana ni ya kukejeli mtoa hoja badala ya kuonyesha mapungufu ya hoja hatua kwa hatua.
===
Nikirudi kwenye mada. Masuala ya uozo wa demokrasia ya Marekani yamewekwa wazi na Trump. HII ni tangu wakati wa uchaguzi uliomuingiza Madarakani, hasa kwenye hatua za kumpata mgombea wa Democrat! Bado tuna kumbukumbu za hujuma dhidi ya Ben Sanders kutoka kwa wakuu wa chama cha Democrat! H. R. Clinton " alipendelewa " na wakubwa wale dhidi ya Sanders ndiyo maana alipita! Ushahidi wa hili ulizimwa kiaina bila mafanikio.

Ni chama hicho hicho kinaendesha rafu za kupata wagombea wake wenyewe! Tena kinajinasibu democratic. Je. Kwa historia ya chama hicho ya kuratibu wizi na upendeleo kwa manufaa ya baadhi ya wagombea wa ndani ya chama chake, chama hiki kitashindwaje kuratibu wizi tena kikishirikiana na 1% ya wamarekani, kubadili matokeo ya uchaguzi wa wamarekani kwa njia za udanganyifu dhidi ya chama kinachoshindana nacho!?

Hii haihitaji "robust model" kubashiri ! Yaani kujua hujuma dhidi ya Trump kwa uchaguzi wa mwaka jana ni sawa na kuhesabu moja mpaka mbili!

Trump kawaumbua tena kwenye uchaguzi huu. Ingawa inaonekana 76 milioni ya wamarekani wengi waliodhibitisha kumuunga mkono baada ya rafu za democrat huku wengine kura zao zikimezwa na " computer glitches" kwenye majimbo kadhaa hawajaweza kulinda "kura zao"! Hata hivyo, somo wamelitoa

Kwa hiyo, Ndugu Mag3 na wengine wenye mlengo kama wa kwako Mkuu, jitahidi kuangalia masuala ya demokrasia ya Marekani na megine kama movies (bila upendeleo) ! Lakini mkiyajaa masuala ya Marekani katika mtindo wa Simba na Yanga mtaonekana vituko! Na sisi tunataka ninyi m-" BRING OUT THE BEST IN YOU", kwa manufaa ya jukwaa hili na jamii nzima kwa ujumla.
 
EDIT 3: The Marekani 2020 Movie Plot

1. John Glubb published his famous The Fate of Empires and Search for Survival book in 1976. He claims empires last for 250 years, give or take.

2. The United States of America (USA) declared independence in the year 1776. The 250 years time-period is almost gone. What will be the fate of USA?

3. The USA 2020 elections are peak in terms of what is at stake: Democrats think that four more years of Trump will truly mean the end of USA as we know it. The Republicans think that four years of Biden (Harris / Clinton) will surely be the end of the republic. That is why this question is posed: Who is this movie's Hero ("stelingi")? Who is the main Villain ("Kubwa la Maadui")?

4. Each
side accuses the other of being the stooges of foreign bad guys. The left accuses Trump of being the stooge of Russians (Putin), while the Right accuses Biden to be the stooge of China (CCP). Which is which?

5. The Left blamed Russia for election losses in 2016. The Right blames China, Italy and others for the 2020 election loss. Was there election interference in the year 2016? What about year 2020? If there was, what does it mean to the republic?

6. What will happen to the American Republic? If USA falls as a republic, what chances of survival for newer, less stronger republics? Will USA fall?
7. A republic, if you can keep it ~ Benjamin Franklin (1787). Will the USA survive, and get new lease of life as a republic, for the next 250 years?
 
Mkuu watu wanapojadili mambo ya maana ambayo watu wamefariki usilete utani wa kipuuzi. Kuna jukwaa la vichekesho huu upuuzi wako peleka kule utapata wachangiaji.
Ndugu yangu akili ndogo inalitazama hili jambo kama la utani...what is happening in the US right now is much greater than two individuals, greater than Donald Trump and definitely greater than Joe Biden. The US is an experiment, the world experiment and if the US was to collapse, the whole world would be in great danger.

Watu kama Adolf Hitler hawakutokea hivi hivi, waliwezeshwa na watu wanaoweka matumaini yao kwa individuals badala ya society as a whole. Historia ipo kutukumbusha, kutuonya na kutufundisha lakini katika kila jamii utakuta watu wasioipa historia haki yake katika kuelimisha na kutuepusha kurudia makosa ya nyuma.

Watu kama Putin wa Urusi hawakuota tu kama uyoga, watu kama Rais wa China hawakuzuka tu ghafla, hapana, jamii ilihusika katika kuwaasisi, kuwalea na kuwajenga hadi wakakua na kupata nguvu walizo nazo. Hiyo ndio sababu taifa kama Marekani ambayo wakazi wake wengi walizikimbia nchi zao za asili inaitwa the experiment.

Kama Wamarekani weusi ndio wangepanga kuvamia jengo kubwa kuliko yote nchini humo na ulimwengu mzima ambalo ndilo makazi ya serikali ya Marekani na alama ya taifa, kama Waislaam ndio wangepanga kuvamia jengo hilo au kama watetezi wa demokrasia ndio wangethubutu, leo hii vilio vingetanda duniani kote.

Badala yake, si vilio vinasikika Urusi, si vilio vinasikika China, si vilio vinasikika Korea Kaskazini, si vilio vinasikika Iran...ni vicheko na dhihaka. Marekani inachekwa kwa sababu ya wabaguzi wachache wanaochukia demokrasia iliyoweka mamlaka yote mikononi mwa wananchi na si kiongozi wa wabaguzi wa rangi kama ilivyokuwa Afrika Kusini.

Bendera iliyopeperushwa ndani ya jengo hilo inayoitwa Confederate Flag ni bendera ya waliopinga umoja wa taifa la Marekani uliotaka kuwapa binadamu wote uhuru, haki na usawa. Walianzisha vita wakipigana na watu waliokuwa wakitetea haki hizo lakini walishindwa. Walikuwa wakitetea utumwa kwa watu weusi uendelee.

Acheni utani ndugu zangu, fuateni kwa makini yanayojiri kwani mnayo mengi ya kujifunza katika sakata hili. Hii si mara ya kwanza Marekani kupitia kipindi kama hiki na nina hakika haitakuwa mara ya mwisho ila mwisho wa siku the experiment will survive and live on! Hail to liberty in the land of the brave and the free!
 
Excellent analysis Mkuu 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👍🏽
Mkuu kuna watu wana argue kama watoto wadogo waliozaliwa jana waki"quote" mambo wasiyoyaelewa...

Kwa mfano nilimuuliza TUJITEGEMEE kwamba anapotaja DEEP STATE, je hawa walioshambulia na kunajisi alama ya taifa na wakaachiwa wakarudi makwao ila sasa eti ndio wanatafutwa, hiyo DEEP STATE ilikuwa wapi? Kila kilichopangwa siku ile kilikuwa "online" na hakikuwa siri, je DEEP STATE ilikuwa usingizini?

Halafu unamkuta Mbongo amekaza shingo eti Trump anapambana na DEEP STATE, ujinga mtupu. Wenye mamlaka ya mwisho nchini Marekani ni wananchi na hata kila State ya Marekani ina bunge lake inayotokana na kura za wananchi wa state hiyo. Hili jambo linawahangaisha sana wannabe dictators kama Donald Trump anayetamani kuwa na mamlaka kama ya mpenzi wake Putin wa Urusi.

Subirini dude limeamshwa, sasa mtaiona nguvu ya wananchi inavyofanya kazi katika kulinda misingi na taasisi za kidemkorasia. Katika vita yoyote kutokuwa na upande ni dalili ya ugonjwa wa unafiki. Utakosaje upande katika utu vs unyama, upendo vs ukatili, uzuri vs ubaya na uhuru vs utumwa? TUJITEGEMEE, samahani sana lakini katika mambo kama haya simung’unyi maneno.
 
Zipo taarifa zinasema kuwa kuna uwezekano wa Donald Trump kutolewa Madarakani kupitia impeachment. Safari ya kwanza hatua kama hii ilipochukuliwa alipona lakini safari hii kupona kwake kunaweza kuwa kugumu sana kulingana na uzito wa tuhuma anazokabiliwa nazo na ushahidi.
 

''Democrat Jason Crow calls out Republicans 'afraid' to impeach over death threats: 'Welcome to the club''​

''Ahead of Wednesday's impeachment vote, Crow, a former Army Ranger who remained on the House floor during last week's Capitol attack to make sure other congressmembers made it out, had harsh words for the "morally bankrupt" GOP congressmembers who have fallen into "conspiracy theories" that incited the pro-Trump rioters. But he's also not impressed with the "majority of them" who are "paralyzed with fear" because "they are afraid for their lives if they vote for this impeachment." "Welcome to the club," Crow added, noting Democrats have gotten death threats "for a long time" but are planning to impeach anyway.''

Democrat Jason Crow calls out Republicans 'afraid' to impeach over death threats: 'Welcome to the club' (msn.com)



Hapo ndipo USA imefikia. In few hours tutaona kama Trumpet atafukuzwa kama mbwa koko.
 
Death threat sasa hivi zimeelekezwa kwa wapigania "liberty" na demokrasia ya haki ya kujieleza inayolindwa na katiba ya Marekani. Ma-CEO kadhaa wenye makampuni yanayoimarisha uhuru wa kujieleza ni wahanga wa vitisho hivi vya kuawa tena inasemekana vitisho vinaratibiwa na "Big Techs".

Hapa inaleta mvurugano maana Biden aliowaita terrorists sasa ndiyo wanakuwa terrorised...au kaamua kutumia msemo wetu wa kiswahili wa " dawa ya moto ni moto".
Ushahidi wa vitisho kuwanyamazisha wapigania haki ya kujieleza Marekani ni huu.

 
Edit 4: January 21 2021. Congratulations to President Biden. This discussion have reached its EOL.
 
No. 7 is a million dollar question as we speak. The so called developed countries have been spooked by BITCOIN. They are not sure what will come in the near future. HSBC (UK) biggest bank warned the public last week that they may loose everything by entertaining the Crypto currency by involving FCA (Financial Conduct Authority) which lead BITCOIN to fall sharply from around $40,000 a coin to almost $23,000, although it has recovered now trading at $32,000 a coin.

Is gold going to be the saviour? Time will tell.
 
No. 7 is a million dollar question as we speak. The so called developed countries have been spooked by BITCOIN. They are not sure what will come in the near future. HSBC (UK) biggest bank warned the public last week that they may loose everything by entertaining the Crypto currency by involving FCA (Financial Conduct Authority) which lead BITCOIN to fall sharply from around $40,000 a coin to almost $23,000, although it has recovered now trading at $32,000 a coin.

Is gold going to be the saviour? Time will tell.

Interesting Times.
 
demokrasi ya USA inaweza kuchezewa chezewa hovyo na wahuni
Demokrasia gani, watu wameandamana Jan 6, wamekamatwa, mpaka sasa hawajafunguliwa mashitaka. Msichague mnayoyataka kwenye demokrasia
====
 
It is really becoming a "confusing sceneries" in the US.
====
US President Joe Biden has been widely mocked following a public appearance on Thursday. After delivering a speech in North Carolina, he appeared to offer a handshake with no one there to receive it.

The president visited North Carolina A&T State University in Greensboro to make a 40-minute address on the economy. After finishing his remarks on how his administration has worked to rebuild supply chains and kickstart an economic recovery, Biden turned right and stretched his hand out as if he was offering it for a handshake. He then turned his back to the audience and stood for a second or two, before walking off the stage.

Biden’s political opponents interpreted the hand gesture as the latest episode of apparent confusion, which the 79-year-old politician has demonstrated on several occasions during his presidency.

 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom