Kumbe hamna msimamo. Mara hii mnamgeuka kipenzi chenu? Hii ni ajabuNi punguani peke yake ndiye anaweza kulinganisha Marais na upupu.Tanzania ina Rais au ina upupu?Rais gani ambae anashindwa hata kutoa muongozo wa maziko ya watu wanaokufa kwa Corona?Wewe unaona kuna Rais hapo?Ule ni upupu!
Kipenzi chetu kipi hicho?Wapi niliwahi kusema kuwa Samia ni kipenzi changu?Mimi nilianza kumpinga Samia kabla hata hajaapishwa kwa sababu alishirikiana na Magufuli katika kufanya uhalifu dhidi ya binadamu.Kumbe hamna msimamo. Mara hii mnamgeuka kipenzi chenu? Hii ni ajabu
Hivi lowasa bado yupo?
Yaani mkuu kwa katiba yetu hii siku tukipata rais kama sabaya au makonda, hata ccm wenyewe watalia na kusaga meno, hamna atakayebaki salama, mfano mdogo tumeonjeshwa na JPMCha ajabu kipo sana tu kama taasisi hazipo imara.Unajua Rais ni mtu ambae akili yake inatakiwa kuwa fit sana.Uzee mwingi na Urais haviendani kabisa kwa sababu vyote viwili huwa vinakula sana akili lakini kwa kuwa Marekani ina taasisi imara hakutakuwa na shida yoyote.
Jambo kama hilo likitokea katika nchi za Afrika kama vile Tanzania ambapo Rais ndiye bunge,ndiye mahakama,ndiye polisi,ndiye TISS,ndiye mawaziri na kadhalika ni hatari sana kwa usalama wa nchi na ustawi wake.
Mpango Wa CovaxMadhara ya Johnson&johnson
Haaaaa haaaa haaahaa nimecheka saanaMadhara ya Johnson&johnson
Hata mimi nashangaa wanamshangaa mzee kusahau. Kwanza huyu mzee ilibidi aheshimiwe, kwamba pamoja na uzee wake bado aliweza kuingia White House kama President!Sioni Cha ajabu hapo
Kwani Baraka Obama unajuwa alivyotamka neno Tanzania na baadhi ya maneno ya kiswahili alivyokuja kipindi kile? hayo majina ya Afghanistan hata wewe ufundishwe wiki nzima hutalitamka linavyotakiwa ni magumu sana kutamka kwa wasiokuwa waislamuRais Joe Biden wa Marekani ameendelea kuonyesha kuwa, mbali na kuboronga katika uzungumzaji, anazidi kupungukiwa na fahamu pia baada ya kupotea njia ya kuelekea ofisini kwake katika Ikulu ya White House.
Shirika la habari la Fars limeripoti kuwa, akiwa kwenye uwanja wa Ikulu ya White House, Biden alipotea njia na kuhitaji kuongozwa kuelekea ofisini kwake na afisa wake mmoja wa siri.
Tukio hilo la siku ya Jumatano limejiri katika hali ambayo, kuendelea kuboronga katika uzungumzaji, kupungukiwa na fahamu na kufanya vitendo vya ajabu ajabu pamoja na hali ya ubabaikaji ambayo ameonyesha kuwa nayo rais huyo wa Marekani kwa miezi kadhaa sasa tangu alipoingia madarakani, vimepelekea watumiaji wa mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya Magharibi kutoa maoni ya kumdhihaki na kumfanyia stihzai kiongozi huyo huku wakosoaji wake wakitilia shaka ufahamu wake na uzima wake wa akili.
[https://media]Joe Biden
Video mbali mbali zinazomuonyesha Joe Biden akiboronga katika uzungumzaji tangu alipochaguliwa kuwa rais wa Marekani, ikiwemo kuyasahau majina ya maafisa wa serikali yake katika vikao na waandishi wa habari, zimezidi kutilia nguvu shaka iliyopo kuhusu uwezo wa kiakili na kimwili wa kiongozi huyo.
Katika kikao chake cha kwanza na waandishi wa habari, Joe Biden alilitaja kimakosa jina la rais wa Afghanistan alipolitamka 'Kiyani' badala ya Ashraf Ghani...
View attachment 1892180
Cha ajabu kipo sana tu kama taasisi hazipo imara.Unajua Rais ni mtu ambae akili yake inatakiwa kuwa fit sana.Uzee mwingi na Urais haviendani kabisa kwa sababu vyote viwili huwa vinakula sana akili lakini kwa kuwa Marekani ina taasisi imara hakutakuwa na shida yoyote.
Jambo kama hilo likitokea katika nchi za Afrika kama vile Tanzania ambapo Rais ndiye bunge,ndiye mahakama,ndiye polisi,ndiye TISS,ndiye mawaziri na kadhalika ni hatari sana kwa usalama wa nchi na ustawi wake.
Wamarekani wanaomba yasije kuwakuta kama yaliyotukuta Tanzania Biden akafa yule mama akachukua nchi kwani wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.Juzi alipeana mkono na kivuli,sjui ilikuwaje wamarekani wakachagua huyu mzee
Kuna madhara gani mkuu kwa mwanamke kuwa kichwa cha nchi?Wamarekani wanaomba yasije kuwakuta kama yaliyotukuta Tanzania Biden akafa yule mama akachukua nchi kwani wanajua madhara ya mwanamke kua kichwa cha nchi.