Biden azidi kupungukiwa na fahamu, mara hii amepotea njia ya kuelekea ofisini kwake White House!

Cha ajabu kipo sana tu kama taasisi hazipo imara.Unajua Rais ni mtu ambae akili yake inatakiwa kuwa fit sana.Uzee mwingi na Urais haviendani kabisa kwa sababu vyote viwili huwa vinakula sana akili lakini kwa kuwa Marekani ina taasisi imara hakutakuwa na shida yoyote.

Jambo kama hilo likitokea katika nchi za Afrika kama vile Tanzania ambapo Rais ndiye bunge,ndiye mahakama,ndiye polisi,ndiye TISS,ndiye mawaziri na kadhalika ni hatari sana kwa usalama wa nchi na ustawi wake.
Sasa kama ana afya mbaya ya kiakili kuwa rais kuna faida gani hata kama tasisi ziko imara?
 
Politicians are puppets of Illuminati, the Illuminati are secret societies devil worshippers ruling the world from behind the scenes.
Joe Biden is an alien(fallen angel), a reptilian shape shifter disguised in a human body. He is malfunctioning because he is being controlled under the MK ULTRA MIND CONTROL PROGRAM.
Wake up people and do research!
The New World Order is here!
"In the age of information ignorance is a choice"
 
Politicians are puppets of Illuminati, the Illuminati are secret societies devil worshippers ruling the world from behind the scenes.
Joe Biden is an alien(fallen angel), a reptilian shape shifter disguised in a human body. He is malfunctioning because he is being controlled under the MK ULTRA MIND CONTROL PROGRAM.
Wake up people and do research!
The New World Order is here!
"In the age of information ignorance is a choice"
Aisee
 
Cha ajabu kipo sana tu kama taasisi hazipo imara.Unajua Rais ni mtu ambae akili yake inatakiwa kuwa fit sana.Uzee mwingi na Urais haviendani kabisa kwa sababu vyote viwili huwa vinakula sana akili lakini kwa kuwa Marekani ina taasisi imara hakutakuwa na shida yoyote.

Jambo kama hilo likitokea katika nchi za Afrika kama vile Tanzania ambapo Rais ndiye bunge,ndiye mahakama,ndiye polisi,ndiye TISS,ndiye mawaziri na kadhalika ni hatari sana kwa usalama wa nchi na ustawi wake.
Mh... taasis imara huwa zinaundwaje
 
Mh... taasis imara huwa zinaundwaje
Wananchi ndiyo wenye nchi.Ni wajibu wa wananchi kuhakikisha kuwa Taifa linakuwa na taasisi imara.

Mfano inatakiwa kama wananchi watagundua kuwa mahakama na bunge zimewekwa mfukoni na Rais basi wananchi wanapaswa kumwajibisha huyo Rais kwa kumtoa madarakani haraka sana.Tumeshuhudia haya yakifanyika kwenye nchi kama Misri,Tunisia,Sudan na kadhalika.
 
Sasa kama ana afya mbaya ya kiakili kuwa rais kuna faida gani hata kama tasisi ziko imara?
Hilo tatizo amelipata baada ya kuwa Rais na kumuondoa Rais madarakani ambae amepata tatizo hilo ni mchakato ambao unahitaji muda.Sasa hilo gap la muda kuanzia pale Rais anapopata tatizo hilo hadi kuja kumtoa madarakani ndipo taasisi imara huhitajika sana na umuhimu wake huonekana.
 
Umri ushamtupa mkono ,ingependeza apumzike tu alee wajukuu,na unaweka kuta 2024 anagombea tena.
 
Rais Joe Biden wa Marekani ameendelea kuonyesha kuwa, mbali na kuboronga katika uzungumzaji, anazidi kupungukiwa na fahamu pia baada ya kupotea njia ya kuelekea ofisini kwake katika Ikulu ya White House.

Shirika la habari la Fars limeripoti kuwa, akiwa kwenye uwanja wa Ikulu ya White House, Biden alipotea njia na kuhitaji kuongozwa kuelekea ofisini kwake na afisa wake mmoja wa siri.

Tukio hilo la siku ya Jumatano limejiri katika hali ambayo, kuendelea kuboronga katika uzungumzaji, kupungukiwa na fahamu na kufanya vitendo vya ajabu ajabu pamoja na hali ya ubabaikaji ambayo ameonyesha kuwa nayo rais huyo wa Marekani kwa miezi kadhaa sasa tangu alipoingia madarakani, vimepelekea watumiaji wa mitandao ya kijamii na vyombo vya habari vya Magharibi kutoa maoni ya kumdhihaki na kumfanyia stihzai kiongozi huyo huku wakosoaji wake wakitilia shaka ufahamu wake na uzima wake wa akili.

[https://media]Joe Biden

Video mbali mbali zinazomuonyesha Joe Biden akiboronga katika uzungumzaji tangu alipochaguliwa kuwa rais wa Marekani, ikiwemo kuyasahau majina ya maafisa wa serikali yake katika vikao na waandishi wa habari, zimezidi kutilia nguvu shaka iliyopo kuhusu uwezo wa kiakili na kimwili wa kiongozi huyo.

Katika kikao chake cha kwanza na waandishi wa habari, Joe Biden alilitaja kimakosa jina la rais wa Afghanistan alipolitamka 'Kiyani' badala ya Ashraf Ghani...

View attachment 1892180
Unaweza kufunguliwa mastaka ya kunyanyasa wazeee.Hiyo ni case ujue
 
Kwa umri wake huo atakuwa dementia
Ugonjwa unamsababishia kusahau
Pole yake ila sio uzee kwani sio mzee hivyo
Kuna wazee wana 90 na akili ziko vizuri na wanahemea
 
Cha ajabu kipo sana tu kama taasisi hazipo imara.Unajua Rais ni mtu ambae akili yake inatakiwa kuwa fit sana.Uzee mwingi na Urais haviendani kabisa kwa sababu vyote viwili huwa vinakula sana akili lakini kwa kuwa Marekani ina taasisi imara hakutakuwa na shida yoyote.

Jambo kama hilo likitokea katika nchi za Afrika kama vile Tanzania ambapo Rais ndiye bunge,ndiye mahakama,ndiye polisi,ndiye TISS,ndiye mawaziri na kadhalika ni hatari sana kwa usalama wa nchi na ustawi wake.
Hata uchanga nao ni tabu kwa mtu kuwa rais wa nchi kama Tanzania. Rais anafaa aingie akiwa na miaka kati ya 50-55 ili aondoke akiwa 60-65. Chini ya 50 au zaidi ya 60 ni majanga.
 
Hata uchanga nao ni tabu kwa mtu kuwa rais wa nchi kama Tanzania. Rais anafaa aingie akiwa na miaka kati ya 50-55 ili aondoke akiwa 60-65. Chini ya 50 au zaidi ya 60 ni majanga.
Ni punguani peke yake ndiye anaweza kulinganisha Marais na upupu.Tanzania ina Rais au ina upupu?Rais gani ambae anashindwa hata kutoa muongozo wa maziko ya watu wanaokufa kwa Corona?Wewe unaona kuna Rais hapo?Ule ni upupu!
 
Back
Top Bottom