Sisi inatuhusu niniUjumbe mzito wa Twitter umetumwa kwa rais Biden na mama aliyepoteza mwanaye Afghanistan
USSRView attachment 1919851
Mkuu umejuaje kwamba ni marine soldierHuyo mama naye boya tu. Alipomruhusu mwanaye ajiunge na jeshi tena Marines alikuwa anafikiri anakwenda kucheza msondo? Ni mfuasi wa Trump aliyejaa chuki tu japo anastahili pole kwa kufiwa na mwanawe. Kwa upande mwingine aangalie na maelfu ya watoto wa wenzake waliouawa na mwanawe huyo na wenzake huko Afghanistan, Iraq na kwingineko. Taifa la kikatili daima liko vitani dunia nzima kuua na kunyonya wengine kisa tu kuiba raslimali zao. Pambafu!
ila watu mna majibu humuWe dili na ya Tanzania
Tozo zimevuluga vichwa vyetuila watu mna majibu humu