Lengo la NATO kuelekea Mashariki ni kuifikia RUSSIA kwa ukaribu, kipindi USSR inaishia Germany wale wa West hasa Marekani hakupenda maana aliona Russia ataweza kumpiga tokea popote pale, Hivo basi baada ya kuanguka USSR mshauri mmoja wapo wa kijasusi aliwaambua USA ili uweze kumkabili Russia inakupasa umfate kwa njia yoyote ile! Iwe kijeshi au kisiasa ata ikibidi kununua viongozi waliopo madarakan na nchi jiran na Russia ili wajiunge na USA.Putin na urusi kwa ujumla wanakuzwa bure. Boss anayetawala ni US pamoja na NATO yake.
Russia kaingia kwenye mtego tayari na analijua hiloLengo la NATO kuelekea Mashariki ni kuifikia RUSSIA kwa ukaribu, kipindi USSR inaishia Germany wale wa West hasa Marekani hakupenda maana aliona Russia ataweza kumpiga tokea popote pale, Hivo basi baada ya kuanguka USSR mshauri mmoja wapo wa kijasusi aliwaambua USA ili uweze kumkabili Russia inakupasa umfate kwa njia yoyote ile! Iwe kijeshi au kisiasa ata ikibidi kununua viongozi waliopo madarakan na nchi jiran na Russia ili wajiunge na USA.
Kwaiyo kinachofanyika sasa ni kutekeleza ushauri tu waliopewa japo wengine walishasema kuwa NATO kujitanua upande wa Russia kutakuka kuleta maafa huko mbele na ndiyo hicho kinatokea Ukraine sasa.
USA anafanya hivi kuyafuata mataifa yenzake hasimu kule ASIA, na ndiyo maana unaona ata Taiwan inaelekea huko sio kwa bahati mbaya lah! Ila tu kumdhibiti China kupitia Taiwan, kumdhibiti Russia kupitia nchi jiran nayeye! Leo hii USA kaitoa sadaka Ukraine na malengo yake unayajua? Anataka Russia adhoofike ni kijeshi! Unahisi atafaidika vipi?
Mwisho wa siku tuseme tamaa za Mmarekanj kutaka kuitawala Dunia ndizi zitapelekea Dunia kuwa sehemu ya hatari
Ukweli ni kwamba dunia inaendeshwa kwa propaganda kwenye media na marekani pamoja na NATO wamefanikiwa hapo.Lengo la NATO kuelekea Mashariki ni kuifikia RUSSIA kwa ukaribu, kipindi USSR inaishia Germany wale wa West hasa Marekani hakupenda maana aliona Russia ataweza kumpiga tokea popote pale, Hivo basi baada ya kuanguka USSR mshauri mmoja wapo wa kijasusi aliwaambua USA ili uweze kumkabili Russia inakupasa umfate kwa njia yoyote ile! Iwe kijeshi au kisiasa ata ikibidi kununua viongozi waliopo madarakan na nchi jiran na Russia ili wajiunge na USA.
Kwaiyo kinachofanyika sasa ni kutekeleza ushauri tu waliopewa japo wengine walishasema kuwa NATO kujitanua upande wa Russia kutakuka kuleta maafa huko mbele na ndiyo hicho kinatokea Ukraine sasa.
USA anafanya hivi kuyafuata mataifa yenzake hasimu kule ASIA, na ndiyo maana unaona ata Taiwan inaelekea huko sio kwa bahati mbaya lah! Ila tu kumdhibiti China kupitia Taiwan, kumdhibiti Russia kupitia nchi jiran nayeye! Leo hii USA kaitoa sadaka Ukraine na malengo yake unayajua? Anataka Russia adhoofike ni kijeshi! Unahisi atafaidika vipi?
Mwisho wa siku tuseme tamaa za Mmarekanj kutaka kuitawala Dunia ndizi zitapelekea Dunia kuwa sehemu ya hatari
Utatumia diplomasia kwa mtu ambaye analeta dharau na majibu ya shombo?Ukweli ni kwamba dunia inaendeshwa kwa propaganda kwenye media na marekani pamoja na NATO wamefanikiwa hapo.
Pia US amewekeza sana kwenye intelligence dunia nzima hivyo ameweza kuwa na influence kwenye mataifa mengi.
Kwanini urusi alazimishe nchi nyingine kuwa chini yake? Atumie njia za kidiplomasia kupata suluhisho badala ya kutumia vita.
Kwanini hizo dharau ni kwa urusi na sio marekani? Simple, kwasababu marekani na nato wanatumia ujasusi kutengeneza influence. Urusi nayo ifanye hivyo kuepusha kuachwa alone na majirani zake.Utatumia diplomasia kwa mtu ambaye analeta dharau na majibu ya shombo?
Lengo la NATO kuelekea Mashariki ni kuifikia RUSSIA kwa ukaribu, kipindi USSR inaishia Germany wale wa West hasa Marekani hakupenda maana aliona Russia ataweza kumpiga tokea popote pale, Hivo basi baada ya kuanguka USSR mshauri mmoja wapo wa kijasusi aliwaambua USA ili uweze kumkabili Russia inakupasa umfate kwa njia yoyote ile! Iwe kijeshi au kisiasa ata ikibidi kununua viongozi waliopo madarakan na nchi jiran na Russia ili wajiunge na USA.
Kwaiyo kinachofanyika sasa ni kutekeleza ushauri tu waliopewa japo wengine walishasema kuwa NATO kujitanua upande wa Russia kutakuka kuleta maafa huko mbele na ndiyo hicho kinatokea Ukraine sasa.
USA anafanya hivi kuyafuata mataifa yenzake hasimu kule ASIA, na ndiyo maana unaona ata Taiwan inaelekea huko sio kwa bahati mbaya lah! Ila tu kumdhibiti China kupitia Taiwan, kumdhibiti Russia kupitia nchi jiran nayeye! Leo hii USA kaitoa sadaka Ukraine na malengo yake unayajua? Anataka Russia adhoofike ni kijeshi! Unahisi atafaidika vipi?
Mwisho wa siku tuseme tamaa za Mmarekanj kutaka kuitawala Dunia ndizi zitapelekea Dunia kuwa sehemu ya hatari
hana lolote huyo jamaa.Kwaiyo urusi atazivamia Finland na Sweden...mbona atatepeta sasa
Ndio yeye anamiliki Nyuklia peke yake, Ndio maana wanamuacha afanye chochoteChuma Putin lazima akawatwange Makombora hao kina Finland na ndugu zake. Ujue Putin ndo mwenye nyuklia Peke yake dunia nzima.
Huyo jamaa sidhani kama yuko serious na kama yuko serious basi kazi ipoNdio yeye anamiliki Nyuklia peke yake, Ndio maana wanamuacha afanye chochote
Shubamitii
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Yani hii Vita mpaka iishe US atakuwa kafaidi sana kutokana nchi nyingi zinaongeza stock ya silaha toka US au ku-update zile za wakati wa nyuma kidogo. Mfano ni Kina Finland hao walikuwa wana stock kidogo sahv wanaongeza na Japan alishatangaza ana mkakati wa kuongeza jeshi lake kina Poland n.k hao wote ni wateja wa US.Vita na myukreini imesababisha mambo mengi yaliyokuwa yamelala infact mmarekani anapitia humohumo kuhakikisha ajenda zake zinafanikiwa. Urusi inazidi kujisogeza mbele ya meno ya maadui.
Ila angefanya nini? Akae atulie nato wazidi kumsogelea?
... na yale makombora hatari yasiyo na mfano duniani wala mbinguni - Iskander!Chuma Putin lazima akawatwange Makombora hao kina Finland na ndugu zake. Ujue Putin ndo mwenye nyuklia Peke yake dunia nzima.
Na uzuri wa hizo siraha za USA huko Ukraine hazijakomboa hata KijijiYani hii Vita mpaka iishe US atakuwa kafaidi sana kutokana nchi nyingi zinaongeza stock ya silaha toka US au ku-update zile za wakati wa nyuma kidogo. Mfano ni Kina Finland hao walikuwa wana stock kidogo sahv wanaongeza na Japan alishatangaza ana mkakati wa kuongeza jeshi lake kina Poland n.k hao wote ni wateja wa US.
... ukishaondolewa kwenye mfumo wa SWIFT you are almost as good as nothing.Putin has been fixed, ni suala la muda tu.