Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
mie nlijua kasema mtu wamaana kumbe huyo mlinda mashoga
nonsense!
nonsense!
Na kunyaHAHAHA UPATE NGUVU YA KUKIMBIA NA KUJIFICHA
tuathilike mara ngapi mkuu?Afrika hatujielewi itakuwa muendelezo tuTutaathirika na sisi Afrika kwa namna moja au ingine
Wanaweza kurudi na hizo 8M au pamba za pua na masikio.Hii vita ishachukua mwezi?
Si nilisikia majeshi ya urusi yameizunguka Kyiv na wapo 13KM kulifikia hili jiji? Na kwamba siku tatu tu zinatosha kuituliza Ukraine?
NA huyu Biden anapomlabel Putin kama war criminal si ni mbinu ya kumpa mbwa jina baya kabla ya kulobby nchi zingine ziingie kupambana kupitia UN kama peace keepers?
Hapa si ndiyo mwanajeshi akienda Ukraine akikaa wiki 6 anarudi na 8M na marupu rupu mengine unadhani wangapi watagoma?
Mbona wao jeshi lilipotaka kuchunguzwa kwa uhalifu waliofanya Iraq wakang'aka na kukimbilia kuwatishia kuwawekea vikwazo wachunguziHaijadiliki kwa maana gani? Mbona inajadilika vizuri tu?! Tuanze kwanza kwa kujadili kuwa "mhalifu wa kivita" ni mtu wa aina gani!
Na bado wengi huzifurahia hizo deployment za UNWanaweza kurudi na hizo 8M au pamba za pua na masikio.
Thubutu. Hapo Ukraine mambo wamezingua.Sasa kama ni mhalifu nendeni Urusi mkamkamate🐒
Angejitangaza na yeye anayepeleka silaha kuua watu.
Mbwa kabisa Joe Bin Laden.
Biden na Blinken wamegeuka mbayuwayu kila uchao wapo kwenye safari za kutafuta marafiki wa kulazimisha wapate kuungwa mkono dhidi ya urusi hakika Urusi baba lao kama huyu Biden ulaya yoote kazurula akitafuta wajumbe lakini inaonekana wajumbe wanaujua ukweli uliopo moyoni mwaoHawa marekani na russian wamehasimiana kwa muda mrefu,niwakati wa kaliza huu uhasama,wachapane ndo soln ya mwaisho.USA NI muoga aingie ulingoni sio kuomba attention kwa dunia.putin kidume aise mwanzo nilikuwa namchukulia poa lkn Kama marekani analialia halafu kaufyata mkia ,sio mchezo.putin kidume aise
Marekan sio kwamba vita haiwez ila anaogopa kupoteza uchumi wake ambao ameujenga kwamiaka kibao, hiz nchi kama urusi, korea kwakiduku, iran huo hazina chakupoteza yan wao hata nchi ibaki magofu hawajali hata mchina saiv ishu yavita hatak mana anajua atapotezaHawa marekani na russian wamehasimiana kwa muda mrefu,niwakati wa kaliza huu uhasama,wachapane ndo soln ya mwaisho.USA NI muoga aingie ulingoni sio kuomba attention kwa dunia.putin kidume aise mwanzo nilikuwa namchukulia poa lkn Kama marekani analialia halafu kaufyata mkia ,sio mchezo.putin kidume aise