Biblia zadaiwa kuchomwa moto Dar;Waliohusika watiwa mbaroni

Status
Not open for further replies.
Hawa sijui hata wanawatafutia nini wakristu.Hivi ndoa zenye mchanganyiko wa waislamu na wakristo zinaishije katika nyakati kama hizi,maana naona hakuna maelewano!
 
Hivi huwa najiuliza mbona yale ma jamaat/mahekalu ya wahindu na masingasinga na vitabu vyao hawachomi!? Wale si wanaabudu mpaka n'gombe!. Au kuna kingine wanachokitafuta kwa wa kristo?
 
Hizi habari kamwe sipendagi niisikie kabisa ndani ya masikio yangu lakini inabidi tu! Ila hakika Imani niliyonayo bila shaka huyu MUNGU tunayemwani na kumtukuza atawaadhibu kwa kifupi kabisa hawa wanaowatuma hawa watoto waharibu mahala watu wanaabudia! Tuwe wapole na matunda yataonekana hakika!
 
Hii forum haikuwekwa kwa ajili ya kupandikiza chuki za kidini kama hizi

huku kupenda dezo dezo na kusifiwa kwa vitu visivyo na msingi mleta uzi kutakushinda

chuki ni zao la shetani na unyonge wa kufikiri

wengne familia zetu baba muslim,mama christian,,watoto wamechagua wenyewe upande wa kuufuata na kuishi maisha ya kifamilia kwa amani na upendo mkubwa

chuki pandikizi kama hizi daima tuzikemee
Mkuu binafsi sijaona kosa la mleta mada,kama lipo tueleweshane ili tukemee pamoja.... labda mhimu aeleze chanzo cha habari yake.
 
Hivi huwa najiuliza mbona yale ma jamaat/mahekalu ya wahindu na masingasinga na vitabu vyao hawachomi!? Wale si wanaabudu mpaka n'gombe!. Au kuna kingine wanachokitafuta kwa wa kristo?
jiulize hili pia kichwani mwako kwanini wale waislam wa dhehebu la sun juzi kule pkistan walitega bomu liwauwe waislamu wa dhehebu la kishia waliokuwa kwenye maandamano iliyosababisha watoto wengi kufariki,kuvunja amani.umwagaji damu,uharibifu.basi
 
ukifuatilia matukio yanavyoendelea, hili swala litakuwa na ukweli mkubwa ndani yake....

{natoka nje ya mada.....na hata ukihudhuria maoni ya katiba....kuna kitu fulani cha namna hii mtu unakigundua}




“Pia tumeshaanza kupatwa na wasiwasi, kwa sababu tumesikia kuwa kuna kikundi cha Waislamu kinafadhili vijana, wanaotumwa kuharibu mali za madhehebu yetu, inasemekana wanalipwa kati ya Sh 100,000 na kuendelea, hivyo tunatoa wito kwa Serikali kuwa makini katika kushughulikia masuala haya ili yasije yakazua mgogoro mkubwa zaidi,” alisema mmoja wa waumini wa kanisa hilo.

Hili ni tukio la pili kubwa kutokea, baada ya lile lilitokea Mbagala ambapo inadaiwa mtoto wa muumini wa dini ya Kikristu, alikojolea Quaran na kuzua mtafaruku na vurugu ambazo zilizimwa na jeshi la polisi.

 
Hao wana uhakika kuwa wamepata ajira, ila ajira yenyewe ni "kushindana na Muumba"...shauri yao.
 
Point of Correction ni Shajara na sio Biblia zilizo pigwa moto!
ingawa ata ivyo hao madogo wakihojiwa vya kutosha watasema nani kawatuma!
 
Status
Not open for further replies.
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom