Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,835
- 630
Wahojiwe wametumwa na nani kama baba zao tuwachinje!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu binafsi sijaona kosa la mleta mada,kama lipo tueleweshane ili tukemee pamoja.... labda mhimu aeleze chanzo cha habari yake.Hii forum haikuwekwa kwa ajili ya kupandikiza chuki za kidini kama hizi
huku kupenda dezo dezo na kusifiwa kwa vitu visivyo na msingi mleta uzi kutakushinda
chuki ni zao la shetani na unyonge wa kufikiri
wengne familia zetu baba muslim,mama christian,,watoto wamechagua wenyewe upande wa kuufuata na kuishi maisha ya kifamilia kwa amani na upendo mkubwa
chuki pandikizi kama hizi daima tuzikemee
baba v naomba urudishe ile avatar yako bana hii sio nzuri lolWanatafuta justification ya uovu waliofanya Mbagala, Aibu yao na Shaitwan wao
jiulize hili pia kichwani mwako kwanini wale waislam wa dhehebu la sun juzi kule pkistan walitega bomu liwauwe waislamu wa dhehebu la kishia waliokuwa kwenye maandamano iliyosababisha watoto wengi kufariki,kuvunja amani.umwagaji damu,uharibifu.basiHivi huwa najiuliza mbona yale ma jamaat/mahekalu ya wahindu na masingasinga na vitabu vyao hawachomi!? Wale si wanaabudu mpaka n'gombe!. Au kuna kingine wanachokitafuta kwa wa kristo?
Pia tumeshaanza kupatwa na wasiwasi, kwa sababu tumesikia kuwa kuna kikundi cha Waislamu kinafadhili vijana, wanaotumwa kuharibu mali za madhehebu yetu, inasemekana wanalipwa kati ya Sh 100,000 na kuendelea, hivyo tunatoa wito kwa Serikali kuwa makini katika kushughulikia masuala haya ili yasije yakazua mgogoro mkubwa zaidi, alisema mmoja wa waumini wa kanisa hilo.
Hili ni tukio la pili kubwa kutokea, baada ya lile lilitokea Mbagala ambapo inadaiwa mtoto wa muumini wa dini ya Kikristu, alikojolea Quaran na kuzua mtafaruku na vurugu ambazo zilizimwa na jeshi la polisi.
Mkuu binafsi sijaona kosa la mleta mada,kama lipo tueleweshane ili tukemee pamoja.... labda mhimu aeleze chanzo cha habari yake.