Biblia inasemaje kuhusu mwisho wa ulimwengu

Hoja gani nimekimbia?

Pia kwanini usemee vitu kabla ya kuchunguza..! unajua utabiri wa yesu ulitokea kipindi gani..?

unaweza kusema chakula kina ladha mbaya bila ya kuonja?

Usipende kukosoa kitu kabla ya kuchunguza utaonekana mjinga..!
Nimekwambia utabiri wa Yesu haukutimia mpaka Yesu Kuzaliwa ndio akasulubiwa, hakuna mahali kasulubiwa Mara 2, lakini hizo dalili zako za mwisho wa dunia tayari zilishafanyika nyingi huko nyuma kabla ya hao wakina Mathayo, sasa iweje kitu kilichofanyika nyuma huko eti kikijirudia mbeleni huko wakina Mathayo wadai ni dalili za mwisho wa dunia? huko ni kupoteza kumbukumbu kwa biblia na umri mdogo wa wakina Mathayo
 
Biblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.

Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.

Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri

watu watampinga Mungu..Hadharani

Watoto hawatowatii tena wazazi wao.

Wataibuka manabii wengi wauongo..na watatenda miujiza mingi.kwa kutumia jina la yesu

na mengine mengi katika ufunuo,mathayo.nk

Na haya hayana budi kutokea..
 
Usikimbie kimbie hoja yangu hayo matukio yalishatokea nyuma mengi sana iweje kujirudia kwake iwe ajabuu mpaka mseme ndio dalili dunia imefika mwisho? kuhusu utabiri wa Yesu ni jambo ambalo halikutokea mpaka alipozaliwa kweli, sasa vip ifanane na hoja yangu ya matukio kujirudia! !!
mkuu vita vya kwanza vya dunia vilitokea mara ngap? kabla ya ile ya 1914? ili tuseme kweli haya mambo yanajirudijirudia
 
Nimekwambia utabiri wa Yesu haukutimia mpaka Yesu Kuzaliwa ndio akasulubiwa, hakuna mahali kasulubiwa Mara 2, lakini hizo dalili zako za mwisho wa dunia tayari zilishafanyika nyingi huko nyuma kabla ya hao wakina Mathayo, sasa iweje kitu kilichofanyika nyuma huko eti kikijirudia mbeleni huko wakina Mathayo wadai ni dalili za mwisho wa dunia? huko ni kupoteza kumbukumbu kwa biblia na umri mdogo wa wakina Mathayo
Naona umeamua kua mgumu nimejaribu kukuelewesha lakini imeshindikana..!

hakuna kipya chini ya jua unashindwa kujiuliza na kutafakari.. kwa upande wako unajua imepita miaka mingi.. dah so sad!

Homework:je Biblia inasema miaka 1000 ni muda gani kwa mungu

nakushauri jifunze kujenga hoja kwa kitu ulicho fanyia uchunguzi! sio kukalili.
 

Mkuu sehemu gani biblia imesema watenda dhambi wataenda motoni..?

kama biblia haijasema umetoa wapi hiyo habari?

kwanini unamfanya mungu aonekane katili na kumpunguzia heshima.?

Au kunasehemu nimesema watenda dhambi wataenda motoni..?

naomba mods wafute comment yako inapotosha watu..!
 
flati disc
hao wafia dini ni washenzi sana na wana vichwa vigumu biblia yenyewe inasema ni DUARA kwenye
Isaya 40 : 22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya dunia, Na wakaaji wake ni kama panzi. Anazitandaza mbingu kama wavu laini
 
hao wafia dini ni washenzi sana na wana vichwa vigumu biblia yenyewe inasema ni DUARA kwenye
Isaya 40 : 22 Kuna Yule anayekaa juu ya duara ya dunia, Na wakaaji wake ni kama panzi. Anazitandaza mbingu kama wavu laini
Usitukane sio ustaarabu.!

Mimi nimekuacha makusudi nikajua utamuuliza ni kifungu gani kinasema dunia ni flat!

Lakini cha ajabu umekubaliana na mtu ambaye hana uthibitisho wa hicho kifungu.!

Jifunze kujenga hoja mkuu.!
 
Usitukane sio ustaarabu.!

Mimi nimekuacha makusudi nikajua utamuuliza ni kifungu gani kinasema dunia ni flat!

Lakini cha ajabu umekubaliana na mtu ambaye hana uthibitisho wa hicho kifungu.!

Jifunze kujenga hoja mkuu.!
Ushenzi sio tusi mkuu cheki kamusi maanake wasio wastaarabu
Pia mimi najua dunia ni duara nimemsaidia huyu anayesema ni flat disk ...kwani unachakuongezea hapo?
 
Umenikumbusha Pini la long time sana - SIKU ZA UKUMU ZA MWISHO

Wanokula kuku bata nawajuaaa pepo tokaaa ihiiiiiiiii - Inspector.
 
Naona umeamua kua mgumu nimejaribu kukuelewesha lakini imeshindikana..!

hakuna kipya chini ya jua unashindwa kujiuliza na kutafakari.. kwa upande wako unajua imepita miaka mingi.. dah so sad!

Homework:je Biblia inasema miaka 1000 ni muda gani kwa mungu

nakushauri jifunze kujenga hoja kwa kitu ulicho fanyia uchunguzi! sio kukalili.
Sasa Nani aliekariri !! mimi au wewe? matukio yalishatokea nyuma watu wakaishi nayo, leo wanakuja wakina Mathayo wanamidanganya, eti oooh mkiona vita mjue dunia imekaribia kufika mwisho, nonsense kabisaa
 
mkuu vita vya kwanza vya dunia vilitokea mara ngap? kabla ya ile ya 1914? ili tuseme kweli haya mambo yanajirudijirudia
Nani kakwambia biblia imetaja vita vya dunia? kilichotajwa ni VITA na kwa taarifaaa yako wakina Musa wamepigana sana vita ata wakina Joshua wamepigana sana vita, sasa iweje VITA hivyo hivyo vikijirudia iwe dunia imefika mwisho? Au kuhusu kupinga Mungu huyu Firauni alimpinga Mungu wa Musa hadharani bila kupepesa macho
 
Nani kakwambia biblia imetaja vita vya dunia? kilichotajwa ni VITA na kwa taarifaaa yako wakina Musa wamepigana sana vita ata wakina Joshua wamepigana sana vita, sasa iweje VITA hivyo hivyo vikijirudia iwe dunia imefika mwisho? Au kuhusu kupinga Mungu huyu Firauni alimpinga Mungu wa Musa hadharani bila kupepesa macho
sawa mkuu inaonekana hata biblia huwa unasoma hilo ni jambo zuri...
kwa hiyo mkuu unamaanisha mambo yamekuwa hivi tangu zamani hakuna kilichoongezeka wala kupungua mambo ni yaleyale yanajirudiajirudia?
 
sawa mkuu inaonekana hata biblia huwa unasoma hilo ni jambo zuri...
kwa hiyo mkuu unamaanisha mambo yamekuwa hivi tangu zamani hakuna kilichoongezeka wala kupungua mambo ni yaleyale yanajirudiajirudia?
Katika vita zilizopigana kipindi hiki umewahi kusikia watu wananjaa mpaka ya kula watoto zao.?

Sasa kwenye biblia walikula nyama za watoto zao na hawakuona kuwa ni dalili za mwisho wa dunia na maisha yakaendelea hadi leo
 
Katika vita zilizopigana kipindi hiki umewahi kusikia watu wananjaa mpaka ya kula watoto zao.?

Sasa kwenye biblia walikula nyama za watoto zao na hawakuona kuwa ni dalili za mwisho wa dunia na maisha yakaendelea hadi leo
ni vizuri ungeweka na sehemu tuone ili isiwe unachomaanisha sicho kinachosema...
mimi nina uhakika na jambo hii hakuna vita vimewahi piganwa na kuleta madhara kama vita vya kwanza vya dunia watu walikufa kwa mamilioni kuliko vita vyote vilivyowahi kupiganwa kabla yake, nchi karibu zote zilipigana vita hii pitia vitabu vyote vinavyoelezea utaona
 
ni vizuri ungeweka na sehemu tuone ili isiwe unachomaanisha sicho kinachosema...
mimi nina uhakika na jambo hii hakuna vita vimewahi piganwa na kuleta madhara kama vita vya kwanza vya dunia watu walikufa kwa mamilioni kuliko vita vyote vilivyowahi kupiganwa kabla yake, nchi karibu zote zilipigana vita hii pitia vitabu vyote vinavyoelezea utaona
Titus akiwa na jeshi la Roma waliuzinguka yerusalemu jamaa walitumia chakula mpaka kuisha ilifikia nyakati walianza kula binadamu. Ndipo Tito akaamuru Jeshi kuingia na kuwapiga hasa na yale aliyotabiri Yesu yakawa yametimia.

Pia kuna Alexander mkuu wa uyunani alipigana vita kubwa sana kipindi akiwaondoa waajemi katika utawala wao watu wengi pia walipoteza uhai.
 
Titus akiwa na jeshi la Roma waliuzinguka yerusalemu jamaa walitumia chakula mpaka kuisha ilifikia nyakati walianza kula binadamu. Ndipo Tito akaamuru Jeshi kuingia na kuwapiga hasa na yale aliyotabiri Yesu yakawa yametimia.

Pia kuna Alexander mkuu wa uyunani alipigana vita kubwa sana kipindi akiwaondoa waajemi katika utawala wao watu wengi pia walipoteza uhai.
nakubaliana nawe mkuu lakin bado ww1 ndio vita vivyouwa wengi zaidi kuliko vita vingine kabla yake..
 
Back
Top Bottom