Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,748
- 3,680
Basi niambie kitu ambacho biblia inakosea..!
Sijasema inakusea, ila kupingana na sayansi. Viko vingi kuanzia uumbaji n.k
Basi niambie kitu ambacho biblia inakosea..!
Nimekuelewa mkuu!Sijasema inakusea, ila kupingana na sayansi. Viko vingi kuanzia uumbaji n.k
uzi umekidhi vigezo vya msingi vya kimataifa kutumiwa na wenye akiliBiblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.
Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.
Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri
watu watampinga Mungu..Hadharani
Watoto hawatowatii tena wazazi wao.
Wataibuka manabii wengi wauongo..na watatenda miujiza mingi.kwa kutumia jina la yesu
na mengine mengi katika ufunuo,mathayo.nk
Na haya hayana budi kutokea..
Yes..uzi umekidhi vigezo vya msingi vya kimataifa kutumiwa na wenye akili
Hii hatua naisubiri hii ya kuja kumuona live on youtubeeeeMkuu lakini hayo maandiko hayamaanishi' dunia itateketea' ila yanamaanisha ni dalili za yesu kuja kututoa katika utawala wa shetani
Ha ha ha ha! sizani kama mitandao itafanya kazi maana imeandikwa kila mtu atamuona akiwa juu anganiHii hatua naisubiri hii ya kuja kumuona live on youtubeeee
Huu ni uwongo wa mchana kweupee, Biblia inajichanganyaBiblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.
Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.
Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri
watu watampinga Mungu..Hadharani
Watoto hawatowatii tena wazazi wao.
Wataibuka manabii wengi wauongo..na watatenda miujiza mingi.kwa kutumia jina la yesu
na mengine mengi katika ufunuo,mathayo.nk
Na haya hayana budi kutokea..
Huu ni uongo mtupu, Biblia inapoteza kumbukumbuBasi muonapo haya tambueni ya kuwa Bwana Yesu yu karibu mlango
Nani amekwambia kuna mwisho wa dunia..?Point to note nni--HAKUNA MWISHO WA DUNIA...
wewe ndio unajichanganya.!Huu ni uwongo wa mchana kweupee, Biblia inajichanganya
Hayo ulioyataja hapo kama Ishara za mwisho wa dunia yalishatokea kitambo sana ata kabla ya huyo Yesu mwenyewe ajakuja duniani, wala wakina mathayo hawapo, Vita watu walipigana kweli kweli, njaa watu walipata kali mpaka nyama za watoto watu wakala, n.k sasa iweje vikijirudia eti iwe mwisho wa dunia, Biblia inasahau kwa harakawewe ndio unajichanganya.!
lete uthibitisho kwamba biblia inajichanganya..!
Jinsia moja kupigana miti au kurambana,imeanza Sodomo na Gomoro..Umesahau na ile jinsia moja kufanya mapenzi
Hata yesu alitabiriwa kuja kwake na kufa kwake..Hayo ulioyataja hapo kama Ishara za mwisho wa dunia yalishatokea kitambo sana ata kabla ya huyo Yesu mwenyewe ajakuja duniani, wala wakina mathayo hawapo, Vita watu walipigana kweli kweli, njaa watu walipata kali mpaka nyama za watoto watu wakala, n.k sasa iweje vikijirudia eti iwe mwisho wa dunia, Biblia inasahau kwa haraka
Kwa hio bibilia inamakosa si ndio? Mana sayansi inaendelea kukua.Je unajua kua biblia inapata na sayansi kwa 100%
Nikisema gari imekamilika kwa safari sio kwamba haita haribika..kuna baadhi ya mambo biblia ilisema na yanapatana na sayansi asilimia 100Kwa hio bibilia inamakosa si ndio? Mana sayansi inaendelea kukua.
Usikimbie kimbie hoja yangu hayo matukio yalishatokea nyuma mengi sana iweje kujirudia kwake iwe ajabuu mpaka mseme ndio dalili dunia imefika mwisho? kuhusu utabiri wa Yesu ni jambo ambalo halikutokea mpaka alipozaliwa kweli, sasa vip ifanane na hoja yangu ya matukio kujirudia! !!Hata yesu alitabiriwa kuja kwake na kufa kwake..
kuhusu miaka.. hata nuhu walimbeza kwasababu miaka mingi ilipita bila gharika..na kurudi tena kwa yesu mpaka hayo mambo yote yatimie..kwa vile hatujui siku wala saa..
Hoja gani nimekimbia?Usikimbie kimbie hoja yangu hayo matukio yalishatokea nyuma mengi sana iweje kujirudia kwake iwe ajabuu mpaka mseme ndio dalili dunia imefika mwisho? kuhusu utabiri wa Yesu ni jambo ambalo halikutokea mpaka alipozaliwa kweli, sasa vip ifanane na hoja yangu ya matukio kujirudia! !!