Biblia haijasema asiyefanya kazi asile, Imeandilwa Ikiwa mtu hataki kufanya kazi, basi, asile chakula.

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,694
36,083
Habari!
Msingi wa andiko hili ni kuonyesha neno moja katika mstari wa Biblia 2 Thes. 3:10 ambalo lina maana kubwa lakini linasahaulika.
Neno "HATAKI" linaachwa kisha watu husema kuwa asiyefanya kazi asile. Kwa zama zile za uandishi wa agano jipya yawezekana kazi zilikuwepo nyingi kulingana na population na ufinyu wa technology ila sasa idadi ya watu imekuwa kubwa, technology imekuwa kubwa. Hivyo unaweza kutaka kufanya kazi lakini hiyo kazi usipate.
Tunaoishi mjini tunalijua hili, mpaka kubeba tofali mpaka uunganishiwe vinginevyo utakula mchanga.
Zege nalo huwezi kulibeba bila mchongo, vyeti sasa bila mchongo hupati kazi. Imagine ajira za takukuru sijui ziko mia 340 ila waombaji walioitwa kwenye usajili wako 12000. Hapo piga hesabu makamishna wa mikoa na wilaya wana watoto, ndugu, kuna marafiki wa makamishna ambayo nao ni mabosi huko Police, TISS, MAGEREZA, JWTZ.
Bado kuna kulipa fadhili kwa waliokufadhili.
Je, utatoboa bila connection?
Kazi watu wanataka kufanya issue ni kuipata hiyo kazi.
Huu mstari unawahusu wasiotaka kufanya kazi sio wasiofanya kazi.
 
Habari!
Msingi wa andiko hili ni kuonyesha neno moja katika mstari wa Biblia 2 Thes. 3:10 ambalo lina maana kubwa lakini linasahaulika.
Neno "HATAKI" linaachwa kisha watu husema kuwa asiyefanya kazi asile. Kwa zama zile za uandishi wa agano jipya yawezekana kazi zilikuwepo nyingi kulingana na population na ufinyu wa technology ila sasa idadi ya watu imekuwa kubwa, technology imekuwa kubwa. Hivyo unaweza kutaka kufanya kazi lakini hiyo kazi usipate.
Tunaoishi mjini tunalijua hili, mpaka kubeba tofali mpaka uunganishiwe vinginevyo utakula mchanga.
Zege nalo huwezi kulibeba bila mchongo, vyeti sasa bila mchongo hupati kazi. Imagine ajira za takukuru sijui ziko mia 340 ila waombaji walioitwa kwenye usajili wako 12000. Hapo piga hesabu makamishna wa mikoa na wilaya wana watoto, ndugu, kuna marafiki wa makamishna ambayo nao ni mabosi huko Police, TISS, MAGEREZA, JWTZ.
Bado kuna kulipa fadhili kwa waliokufadhili.
Je, utatoboa bila connection?
Kazi watu wanataka kufanya issue ni kuipata hiyo kazi.
Huu mstari unawahusu wasiotaka kufanya kazi sio wasiofanya kazi.
Hata huo mchanga utakula kwani ni wako ???
 
Kwa hiyo unataka kusema vitabu vya dini viwe updated kulingana na Dunia ya leo...

Ngoja waje kukutolea povu...
Aaaaah hapa mwandishi Paul hakukosea.
Angesahau kuweka neno HATAKI tungesema huu mstari hauna mashiko kwasasa.
Watu wanataka kufanya kazi lakini hizo kazi hawazioni
 
Vyuma vimekaza sana, hadi vijano wanaona shida kwenye maandiko ambayo wana-theology, mapadri na wachungaji wameshindwa kuona

ASIYETAKA KAZI NA ASILE
 
thes.png
 
Weka kwanza huo mstari na hiyo sura kwenye hiyo biblia,, ikiwezekana weka picha ya hiyo kazi ili tujilidhishe
 
Habari!
Msingi wa andiko hili ni kuonyesha neno moja katika mstari wa Biblia 2 Thes. 3:10 ambalo lina maana kubwa lakini linasahaulika.
Neno "HATAKI" linaachwa kisha watu husema kuwa asiyefanya kazi asile. Kwa zama zile za uandishi wa agano jipya yawezekana kazi zilikuwepo nyingi kulingana na population na ufinyu wa technology ila sasa idadi ya watu imekuwa kubwa, technology imekuwa kubwa. Hivyo unaweza kutaka kufanya kazi lakini hiyo kazi usipate.
Tunaoishi mjini tunalijua hili, mpaka kubeba tofali mpaka uunganishiwe vinginevyo utakula mchanga.
Zege nalo huwezi kulibeba bila mchongo, vyeti sasa bila mchongo hupati kazi. Imagine ajira za takukuru sijui ziko mia 340 ila waombaji walioitwa kwenye usajili wako 12000. Hapo piga hesabu makamishna wa mikoa na wilaya wana watoto, ndugu, kuna marafiki wa makamishna ambayo nao ni mabosi huko Police, TISS, MAGEREZA, JWTZ.
Bado kuna kulipa fadhili kwa waliokufadhili.
Je, utatoboa bila connection?
Kazi watu wanataka kufanya issue ni kuipata hiyo kazi.
Huu mstari unawahusu wasiotaka kufanya kazi sio wasiofanya kazi.
Kwa kuongeza ...Kunatofauti kati ya maneno ya ..asiyefanya kazi asile na asiye fanya kazi usimpe chakula ,hapo utagungua ilo andiko la asiye fanya kazi asile ni "self judgement " hivyo ni tofauti na kusema asiye fanya kazi usimpe chakula ,kama ni hivyo basi wanaotumia ilo andiko kwa kumaanisha asiye fanya kazi usimpe chakula wamepingana na lile andiko la "mpende hata adui yako" ...sasa kati ya adui na asiye fanya kazi ni yupi mbaya zaidi,bila shaka ni adui sasa usipo mpa chakula mtu kwa sababu ajafanya kazi tu je utaweza kumpenda adui yako?
Je nikipi kigumu kumpa chakula asiye fanya kazi au kumpenda adui yako
Wakristo acheni unafiki wa kidini na kupindua maana ya maandiko kwa maslai yenu ya tamaa na uchu wa miili
 
Back
Top Bottom