Jamani form four wamefanya karibu asilimia 80 ya mitihani yao sasa naomba mnisaidie anayefahamu maswali ya Bible knoweldge anifahamishe coz kuna mdogo wangu anafanya tarehe 17 october sasa anataka kufanyia mazoezi.
Kama nitapata past paper basi itakuwa nzuri sana.
Mbarikiwe
Kama nitapata past paper basi itakuwa nzuri sana.
Mbarikiwe