Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unataka kusababishi vikongwe wauliweBibi km huyu jamani kuna uwezekano akaipigia chadema kura? sidhani km hata sera kasikiliza zaidi ya kujua magamba ndo chama.
View attachment 38264
Bibi km huyu jamani kuna uwezekano akaipigia chadema kura? sidhani km hata sera kasikiliza zaidi ya kujua magamba ndo chama.
View attachment 38264
Wewe umezaliwa na nani, mbaguzi mkubwa? Baba na Mama zako hawana wazazi wao kama bibi huyu? Watu kama ninyi ndio mnaweza kupelekea vizee kama hawa kubaguliwa na hata kuchinjwa. Ukitaka kura za vizee hivi vifuate na kuvipa sera. Lakini weng wenu mnashinda humu Jf na kusubiri Mbowe, Slaa, Zitto, Mnyika na wapiganaji wengine wafanye na sisi ninyi kusifia tu. Hiyo haitoshi kuleta mabadiliko ambayo yatapokewa na watu wa rika zote. Nani hana mababu na mabibi kama hawa? Kama kweli kila m[enda mabadliko akijitoa kuwaelimsiha babu na bibi zake Magamba watabakiwa na wafuasi kweli?Bibi km huyu jamani kuna uwezekano akaipigia chadema kura? sidhani km hata sera kasikiliza zaidi ya kujua magamba ndo chama.
View attachment 38264
Bibi km huyu jamani kuna uwezekano akaipigia chadema kura? sidhani km hata sera kasikiliza zaidi ya kujua magamba ndo chama.
View attachment 38264
By 2015
Bibi km huyu jamani kuna uwezekano akaipigia chadema kura? sidhani km hata sera kasikiliza zaidi ya kujua magamba ndo chama.
Attachment 38264
wewe unataka kusababishi vikongwe wauliwe------------------
kweli kabisa watu wa namna hii hawafai kwani nani alisema bibi kizee hana ruhsa ya kupiga kura au mnataka kutuwekea na umri wa mwisho kupiga kura????
c c m oyeeeee !!!!!!!!
Kataa kubali ccm no 1
Mi kweli kabisaa! Ataekataa lazima atakuwa chizi wa namna fulani. No. 1 kwa wizi wa kura, no.1 kwa ufisadi, no. 1 kwa kuwafanya watu misukule ili wawaibie na rasilmali zao wakose hata cha kurithisha watoto wao, no. 1 kwa kila baya, manake hata humu JF ipo mijitu inashabikia CCM wakati huko kwao killage madege yanabeba mchanga wa dhahabu kupelekwa nje ya nchi! lmo humu humu. Pengine tukiitoa madarakani ndipo neema ya kweli itakuja.