Mchicha Makunyazi
Member
- Mar 10, 2018
- 23
- 13
Ni vicoba Chillah nisamehe ni typing error, haya msaada wako plsVocoba
Ni vicoba Chillah nisamehe ni typing error, haya msaada wako plsVocoba
Duh Nyani Mzungu are u serious mkuu?Hapo jiunge na mbet kwa hiyo hela ukitandaza mikeka ya jerojero inakua kama mia moja hivi baadae chungulia ukifeli sana utapata mikeka hata kumi kama ulitupia odds za maana you will get millions within some hours
Nko serious mkuu ni maoni yangu lakni kama unafuatiliaga soka its very simpleDuh Nyani Mzungu are u serious mkuu?
HahahahahahahHapo jiunge na mbet kwa hiyo hela ukitandaza mikeka ya jerojero inakua kama mia moja hivi baadae chungulia ukifeli sana utapata mikeka hata kumi kama ulitupia odds za maana you will get millions within some hours
Imekatazwa hiyo biashara na ukikamatwa balaa lake si mchezoooo.Si nasikia wakuu wa nchi wameikataza
Samahani kaka ivi uyo jamaa ako anauzaje yaani anatembeza kweny maeneo gani au yupo tu anauza ayo maji sehemu moja?nimeiona kwa jamaa yangu haishiwi elfu kumi hata siku moja anauza maji ya kufunga