Biashara yenye faida nzuri marafiki zako hawatotaka uifanye

Jun 23, 2021
8
7
1. I have a business idea ambayo nimeifanyia kazi na tafiti za kutosha kuanzia mwaka jana mpaka mwaka huu, morogoro kisaki wanalima sana mpunga,kipindi cha mavuno gunia la mpunga wanauza 35,000/= mpaka 45,000/= gunia la debe sita shambani, gharama za kusafirisha gunia moja mpaka godown gunia inacost 10,000/= maximum, inatokana na umbali wa shamba lakini, gunia kukaa godown mpaka utakapo enda lichukua gunia lako ni sh 2000/= jumla gunia linakua limecost 57000/= . Faida Gunia moja baada ya miezi mitatu mpaka minne gunia la mpunga linauzwa 90000/= mpaka hata 100,000/= kwa kila gunia mtu una faida ya wastani wa 33000/= kwa kila gunia. Kama mtu ulinunua magunia 300 kwa kila gunia garama yote mpaka siku ya kuliuza sh 57000/= Wastani wa faida kwa kila gunia ni 33000/= mara 300 ni sawa na 9,900,000/= .

2. Mchele kilo moja shinyanga inacost 800/= mpaka 1100/= Grade nzuri safi, usafiri wake mpaka Arusha kilo moja ni sh 300/=
Gharama za kilo mpaka inafika arusha 1400/= Mauzo kilo moja ni 1600/= mpaka 2000/= Wastani wa faida kwa kila kilo ni 300/= Minimum. Mtu ukinunua kilo 1000/= ambayo ni sawa sawa na 1 Tone ghara yake mpaka arusha itakua ni sawa sawa na 1,400,000/= Faida yake itakua minimum 300,000/= Mauzo Kwa mwezi mmoja ninauwezo wa kuuza Tone 4 mpaka 6. Uhifadhi wake store chumba kibwa pembezo kidogo mwa jiji ni 50000/= mpaka 100,000/= Mwezi, usafirishaji kutoka store mpaka masoko mbali mbali gharama za trip 10000/= guta jumla y usafiri kwa mwezi 210,O00/= Faida ya Tone 6 ni 1,800,000/= .

3. Nahitaji serious investors wasiozidi wawili tu tufanye kazi kwa ushindi zaidi.
4. Kigezo awe na uwezo wa kuinvest minimum 5M.
5. Unakaribishwa kuuliza swali lolote kuhusiana na hii biashara
6. Investors mnakaribishwa PM kwa maelezo zaidi

NB: Nimetumia zaidi ya mwaka kufanya tafiti kwa undani sanaa sijaweza kuandika kila kitu, sasa wewe usije kuinvest nenda kafanyie kazi kichwa kichwa.
 
Sikatishi tamaa ila hiyo ya kuweka store mpunga nimeifanya mwaka jana mkuu, nipo Geita na nilijilimia mwenyewe mpunga kipindi cha mavuno haukuwa na bei sana ilikuwa arround 45k mpaka 50k

Likaniijia wazo la kuuhifadhi eti nisubiri bei mkuu mpaka ukafika msimu wa kilimo tena bei ipo 50k -55k sasa sjui wapi huko ambako kuna bei ya 90k-100k nilete na mimi vigunia vyangu?
 
Unapo amua kufanya biashara ya mchele au kulima ni vyema ukawa na assurance ya soko kwa kipindi cha miaka miwili mpaka mitatu, Na hii ni raisi sana kwa ndani ya Tanzania ingia chimbo fanya utafiti wa undani zaidi pata information za kutosha then thanks me later. Bei ya mpunga ya geita uwezi fananisha na bei ya mpunga ya morogoro au moshi mabogoni, ni vyema ukawa unatembea au ukawa na connection nzuri na watu wa maeneo mbali mbali. Dutumi msimu wa mwaka jana mpunga gunia la debe 6 ilikua Tzs 90k. Ushauri wangu kwako tembea tafuta connection mpunga ukiuza kwa bei chini ya 70k kwa gunia basi ni umependa mwenyewe nchi yetu ni kubwa mno atakae Lima 5hector kyela mbeya na atakae lima 5hector dakawa morogoro kamwe hawawezi pata Sawa. Hivyo hivyo ilivyo bei husika.
 
Ushawahi kufanya kwa vitendo hata moja kati ya izo business
Motivesheni speakers!
Unauza kwa mali kauli hakuna wanaolipa KESHI. ukianza kuzungukia kukusanya madeni, hela yote inaishia huko na mtaji unakata.

Labda kama mtu anawekeza mil30. Hata malipo yakichelewa miezi miwili ana hela ya kula.

Stock siyo kila mwak a bei inapanda Dec.
Kuna miaka bei inakomaa tokea mavuno ya mwak a mmoja mpaka mavuno ya mwaka unaofuatia.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Sio motivesheni speakers ni 'motivational speakers" nimesoma mara mbili mbili ulicho andika nimegundua Kuna vitu viwili vimekosekana ndani yako, 1. Ukosefu wa maarifa sahihi 2. Uelewa finyo ulio nao jitahidi sana kusoma hivi vitabua #Rich Dad's Guide To Investment by Robert Kiyosaki na #The 80/20 Principle by Richard Koch vitakusaidia sana , Na usiishie tuu kusoma vitabu fanya research mbalimbali, tambua biashara ya Maindi kijijini kwenu uwezi ifananisha na biashara ya Mahindi pale soko la Kibaigwa. Usikariri leo J5 sio Jmosi jua kutofautisha.
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Sio motivesheni speakers ni 'motivational speakers" nimesoma mara mbili mbili ulicho andika nimegundua Kuna vitu viwili vimekosekana ndani yako, 1. Ukosefu wa maarifa sahihi 2. Uelewa finyo ulio nao jitahidi sana kusoma hivi vitabua #Rich Dad's Guide To Investment by Robert Kiyosaki na #The 80/20 Principle by Richard Koch vitakusaidia sana , Na usiishie tuu kusoma vitabu fanya research mbalimbali, tambua biashara ya Maindi kijijini kwenu uwezi ifananisha na biashara ya Mahindi pale soko la Kibaigwa. Usikariri leo J5 sio Jmosi jua kutofautisha.
Samahani ndugu motivesheno spika, unadai umefanya utafiti wa kutosha. Nataka kufahamu 1. Huo utafiti wako ulikua wa muda gani?
2. Ulifanya utafiti katika scale ipi? Yaani ulikua na mtaji kiasi gani na ikakulipa kiasi gani?
3. Je huyo mbia akija na kiasi cha 5M wewe utatoa nini?
4. Ukiachana na hivyo vitabu vya 'motivesheni' ulivyovitaja, je una ufahamu wowote kuhusiana na 'netiwekingi maketingi'?

Asante
 
Unapo amua kufanya biashara ya mchele au kulima ni vyema ukawa na assurance ya soko kwa kipindi cha miaka miwili mpaka mitatu, Na hii ni raisi sana kwa ndani ya Tanzania ingia chimbo fanya utafiti wa undani zaidi pata information za kutosha then thanks me later. Bei ya mpunga ya geita uwezi fananisha na bei ya mpunga ya morogoro au moshi mabogoni, ni vyema ukawa unatembea au ukawa na connection nzuri na watu wa maeneo mbali mbali. Dutumi msimu wa mwaka jana mpunga gunia la debe 6 ilikua Tzs 90k. Ushauri wangu kwako tembea tafuta connection mpunga ukiuza kwa bei chini ya 70k kwa gunia basi ni umependa mwenyewe nchi yetu ni kubwa mno atakae Lima 5hector kyela mbeya na atakae lima 5hector dakawa morogoro kamwe hawawezi pata Sawa. Hivyo hivyo ilivyo bei husika.
Debe 6 kuwa liliuzwa 90k c kwel!! Ni mwenyej wa dutumi ucmchanganye mwenzako.
 
Unapo amua kufanya biashara ya mchele au kulima ni vyema ukawa na assurance ya soko kwa kipindi cha miaka miwili mpaka mitatu, Na hii ni raisi sana kwa ndani ya Tanzania ingia chimbo fanya utafiti wa undani zaidi pata information za kutosha then thanks me later. Bei ya mpunga ya geita uwezi fananisha na bei ya mpunga ya morogoro au moshi mabogoni, ni vyema ukawa unatembea au ukawa na connection nzuri na watu wa maeneo mbali mbali. Dutumi msimu wa mwaka jana mpunga gunia la debe 6 ilikua Tzs 90k. Ushauri wangu kwako tembea tafuta connection mpunga ukiuza kwa bei chini ya 70k kwa gunia basi ni umependa mwenyewe nchi yetu ni kubwa mno atakae Lima 5hector kyela mbeya na atakae lima 5hector dakawa morogoro kamwe hawawezi pata Sawa. Hivyo hivyo ilivyo bei husika.
Dutumi sas hiv debe 7 kwa maaana ya gunia ni sh. 50,000 plus gharama ya kutoa huko unakonunua mpaka unakohifadhia kwa maana hapo dutumi ni sh. Elf 5, kulileta moro mjin sh. Elf 5 kwa gunia moja so total inakuja 60,000 kwa gunia la ndoo 7
 
Unapo amua kufanya biashara ya mchele au kulima ni vyema ukawa na assurance ya soko kwa kipindi cha miaka miwili mpaka mitatu, Na hii ni raisi sana kwa ndani ya Tanzania ingia chimbo fanya utafiti wa undani zaidi pata information za kutosha then thanks me later. Bei ya mpunga ya geita uwezi fananisha na bei ya mpunga ya morogoro au moshi mabogoni, ni vyema ukawa unatembea au ukawa na connection nzuri na watu wa maeneo mbali mbali. Dutumi msimu wa mwaka jana mpunga gunia la debe 6 ilikua Tzs 90k. Ushauri wangu kwako tembea tafuta connection mpunga ukiuza kwa bei chini ya 70k kwa gunia basi ni umependa mwenyewe nchi yetu ni kubwa mno atakae Lima 5hector kyela mbeya na atakae lima 5hector dakawa morogoro kamwe hawawezi pata Sawa. Hivyo hivyo ilivyo bei husika.
Katika msimu ambao wakulima na wanunuz walipata hasara ni msimu wa mwaka jana
 
Sio motivesheni speakers ni 'motivational speakers" nimesoma mara mbili mbili ulicho andika nimegundua Kuna vitu viwili vimekosekana ndani yako, 1. Ukosefu wa maarifa sahihi 2. Uelewa finyo ulio nao jitahidi sana kusoma hivi vitabua #Rich Dad's Guide To Investment by Robert Kiyosaki na #The 80/20 Principle by Richard Koch vitakusaidia sana , Na usiishie tuu kusoma vitabu fanya research mbalimbali, tambua biashara ya Maindi kijijini kwenu uwezi ifananisha na biashara ya Mahindi pale soko la Kibaigwa. Usikariri leo J5 sio Jmosi jua kutofautisha.
Kibaigwa kwa sas gunia la mahindi ni elf 35
Usafir mpaka moro town sh. Elf mbil
 
Samahani ndugu motivesheno spika, unadai umefanya utafiti wa kutosha. Nataka kufahamu 1. Huo utafiti wako ulikua wa muda gani?
2. Ulifanya utafiti katika scale ipi? Yaani ulikua na mtaji kiasi gani na ikakulipa kiasi gani?
3. Je huyo mbia akija na kiasi cha 5M wewe utatoa nini?
4. Ukiachana na hivyo vitabu vya 'motivesheni' ulivyovitaja, je una ufahamu wowote kuhusiana na 'netiwekingi maketingi'?

Asante
networking marketing inaingiaje hapo , tafuta maarifa ya kutosha people a doing research they a full of informations. Bexb
 
Debe 6 kuwa liliuzwa 90k c kwel!! Ni mwenyej wa dutumi ucmchanganye mwenzako.
Huwa tunasoma na kuelewa ndipo tunajibu, na sio kujibu ulichokisoma bila kukielewa, matokeo yake huwa ni jibu la ovyo. Ni vyema ukasoma maelezo yangu yote kwa usahihi na kuyaelewa .
 
Unapo amua kufanya biashara ya mchele au kulima ni vyema ukawa na assurance ya soko kwa kipindi cha miaka miwili mpaka mitatu, Na hii ni raisi sana kwa ndani ya Tanzania ingia chimbo fanya utafiti wa undani zaidi pata information za kutosha then thanks me later. Bei ya mpunga ya geita uwezi fananisha na bei ya mpunga ya morogoro au moshi mabogoni, ni vyema ukawa unatembea au ukawa na connection nzuri na watu wa maeneo mbali mbali. Dutumi msimu wa mwaka jana mpunga gunia la debe 6 ilikua Tzs 90k. Ushauri wangu kwako tembea tafuta connection mpunga ukiuza kwa bei chini ya 70k kwa gunia basi ni umependa mwenyewe nchi yetu ni kubwa mno atakae Lima 5hector kyela mbeya na atakae lima 5hector dakawa morogoro kamwe hawawezi pata Sawa. Hivyo hivyo ilivyo bei husika.
Umenikumbusha mbali mkuu nimelima Sana mashamba ya soghai, mkesa, rabwa, magari, kauzeni
 
Back
Top Bottom