Abuhunna
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 405
- 228
Wadau naomba kuelimishwa, sikuhizi kumezuka biashara ya ukusanyaji wa oil chafu katika mikokoteni, yaani kuna vijana hutembea sehemu mbalimbali hususan magereji wakiwa na mikokoteni yenye madumu ambayo hununua oil iliyotumika kutoka katika mitambo mbalimnali, swali langu kwa wadau, je oil hiyo inafanyiwa nini?