mtaratibuuuuuu
Member
- Aug 17, 2009
- 60
- 4
BBC imegundua kuna biashara ya wanawake na watoto wa kike nje ya nchi,biashara hiyo imeshamiri sana jijini Dar,wanawauza kwa bei ya juu kwa nchi kama,China,Korea.Saud Arabia etc,na huko wanaenda kuuza miili yao.Hebu fikiria ndo ndugu yako anafanyiwa hivyo