Biashara ya vyuma chakavu,masoko, na changamoto zake

KUNGUNIMSOMI

Senior Member
Sep 8, 2013
169
160
Habari wanajamvi nilikuwa napenda kufanya biashara ya vyuma chakavu je ni makampuni gani yananunua,vipi kuhusu bei kwa tani ya vyuma chakavu na ni mtaji kiasi gani unaitajika? Na ni changamoto gani zinazojitokeza kwenye biashara hii?
 
Nilikua naangalia documentary moja hivi, hii biashara ni nyoko sana, jamaa wasaka vyuma chakavu wanang'oa mpaka monuments zenye high historical value. Tuombe mungu isitokee huku kwetu, wanaweza wakang'oa mpaka majengo kuchukua nondo.
 
Unaishi sehemu gani ya hii nchi mkuu?mbona huku kwetu yameshatokea hayo mambo kitambo sana,na sehemu nyingi zimebaki magofu kwaajili ya vyuma chavu,waulize TRL na TAZARA ndio wanajua hayo machungu..
 
Unaishi sehmu gani ya hii nchi mkuu?mbona huku kwetu yameshatokea hayo mambo kitambo sana,na sehemu nyingi zimebaki magofu kwaajili ya vyuma chavu,waulize TRL na TAZARA ndio wanajua hayo machungu..
Mkuu nipo sehemu ambayo wasaka vyuma chakavu hawapiti mara kwa mara pengine
 
Wanunuzi viwandani wanaogopa vyuma vya reli ukukutwa msala wake utawapa watu hella ya buree ila vinapita kimagumashi
 
Back
Top Bottom