Pragmatist
Member
- Sep 21, 2012
- 18
- 1
Wizi wa kutisha wa nyaya za umeme umetokea Tanga na kusababisha viwanda kadhaa na hospitali kukosa umeme. tatizo hili liko maeneo mengi Tanzania na limeathiri miundombinu ya reli, simu, madaraja, barabara n.k. Kwa nini Serikali isipige marufuku kabisa biashara hii kama ilivyofanya Kenya? Au ni biashara ya vigogo?