kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Baada ya kutangazwa kwa jiji la Dodoma serekali iliandaa mpango wa kupima maelfu ya viwanja na kuviuza kwa mkopo. Wengi walivipapatikia wakijua watauza kwa faida baadae.
Wengi walionunua sio wakaazi wala hawana mpango wa kujenga na kuishi Dodoma bali walinunua kibiashara. Kumbuka viwanja vingi vipo nje ya mji.
Serekali imetangaza kua kuna maelfu ya viwanja ambavyo wanunuzi wake hawajamaliza hela hivyo wanatakiwa wavilipie la sivyo watapokonywa na kuuzwa kwa watu wengine.
Wengi walionunua sio wakaazi wala hawana mpango wa kujenga na kuishi Dodoma bali walinunua kibiashara. Kumbuka viwanja vingi vipo nje ya mji.
Serekali imetangaza kua kuna maelfu ya viwanja ambavyo wanunuzi wake hawajamaliza hela hivyo wanatakiwa wavilipie la sivyo watapokonywa na kuuzwa kwa watu wengine.