mamipetroleum
New Member
- Sep 27, 2011
- 2
- 0
manajamii wenzangu nauliza, hii biashara ina faida gani?..
nimesika hawa jamaa wanapata shilingi 100;- kwa lita ya diesel au petrol. na ni waarabu na wahindi wanao jishuhulisha na bia shara hii?.kweli wangefany hiyo biashara kam faida yenyewe ni ndogo kama hiyo? au tunazibwa macho tu?..kam ndio hivyo hiyo faida yenyewe inaingia ktk kulipa mishahara ya watumishi na matumizi madogomadogo?..kinachonishangaza zaidi nikwamba , hawa watu wanazidi kunenepa, magari yao yanazidi kua makubwa, na nyumb zao zinazidi kupanda juu?.. jamani, mimi tuu au tuko wengi kama mimi, nitoeni mchanga wacho mwezenu.
nimesika hawa jamaa wanapata shilingi 100;- kwa lita ya diesel au petrol. na ni waarabu na wahindi wanao jishuhulisha na bia shara hii?.kweli wangefany hiyo biashara kam faida yenyewe ni ndogo kama hiyo? au tunazibwa macho tu?..kam ndio hivyo hiyo faida yenyewe inaingia ktk kulipa mishahara ya watumishi na matumizi madogomadogo?..kinachonishangaza zaidi nikwamba , hawa watu wanazidi kunenepa, magari yao yanazidi kua makubwa, na nyumb zao zinazidi kupanda juu?.. jamani, mimi tuu au tuko wengi kama mimi, nitoeni mchanga wacho mwezenu.