Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

tengeneza juice ya parachichi mkuu...nenda sokoni ndani ndani wanauza bei sawa na bure. maparachichi ya 5000 utatengeneza juice ndoo kubwa mbili. ukiuza zote utapata elfu 25 faida elfu 20 . Hapa naongea ninachokifanya kila.siku.
Samahani mkuu, umenikumbusha siku moja nilikuwa nasafiri nikanunua juice ya kutengeneza ilikuwa imeganda nikaiacha, barafu liyeyuke, daaaah... ilikuwa maji matupu, nikainywa kibishi...ilinivuruga hadi mwisho kwa hisia mchanganyiko wa kurudisha chenji na kuendesha.
 
Habari wadau.

Naomba kupatiwa taarifa kidogo kuhusu biashara ya vinywaji vya jumla hasa upande wa pombe kali kama Konyagi, Kvant, Shimha n.k. Kuhusu mtaji ninaotakiwa kuwa nao ili nianzishe biashara hiyo.

Nawasilisha.



68915444_1018315225042921_5053682883951167530_n.jpg
 
Bado sijaanza ndo natafuta ABC


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Designated Savaiva,

Sent from my iPhone using JamiiForums[/QUOTE]

Mkuu hapa kamwe hutoweza pata jibu sahihi kwani mtaji inategemeana na location na ukubwa wa biashara unayotaka kufungua
 
Mkuu hapa kamwe hutoweza pata jibu sahihi kwani mtaji inategemeana na location na ukubwa wa biashara unayotaka kufungua

Okay ngoja tuulize kwa wanaofanya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hello wanajamii,

Nimefikiria kudeal na uuzaji wa vinywaji baridi (Jumla). Ila sio kama "Agent" bali muuzaji jumla wa kawaida nikiwa na stock ambayo sio ndogo sanaa na wala sio kubwa sana.

Nafikiria kudeal na vinywaji kama vya Coca Cola (take aways), bakhresa, sayona, jambo, Maji (bottled water), Malta, bavaria, n.k.

Natumaini itakuwa msaada kwa wengine pia kama tukipata maelezo kidogo kwa hints zifuatazo:

1. Kwa mimi muuzaji wa kawaida wa jumla, natakiwa kuchukua mzigo wangu kwa nani (distributor yupi)?

2. Ni vitu au njia gani ambavyo/ambayo unaweza kuviongeza au kuzingatia ili ufaidike na hii biashara?

3. Ni aina gani ya maeneo nayo paswa kufungulia hii biasahara?

4. Ni aina gani ya ushindani nitarajie kuupata na ni vipi naweza kupambana na huu ushindani?

5. Kwa makadirio, kwa aina hii ya biasahara tajwa, inatakiwa mtaji kiasi gani ili uingie bila kubabaika?

Tofauti na hints za hapo juu, Ni maelezo/ushauri/tahadhari gani nayopaswa kuzingatia katika hii biashara.

KARIBUNI WANA JAMII!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante, ok ina maanisha distributors wangu watakuwa hawa AGENTS wa hizi kampuni za vinywaji

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo mtaji wako ndio utaamua

Unaweza kuagiza moja kwa moja toka kiwandani au ukaamua kufanya na hao mawakala

Japo kwa wakala faida ni ndogo kidogo huwa wanaweka na nyongeza yao kidogo ila ukiagiza kiwandani unapata bila kuwekea cha juu
 
Back
Top Bottom