Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Fundi ni muhimu sana kuliko kitu kingine

1.uwe na fundí

2.uwe na location

3.Mtaji kias

Kkoo mtaa wa donge,swahili etc ndo mitaa ambayo tunapatikana wauzaj Wa jumla, usisite kututembelea

Bidhaa muhimu ni nyingi na zinategemeana na location na msimu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi maduka ya vifaa vya pikipiki Kariakoo yote ni ya vifaa vya Jumla?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bi
Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
Biashara hii inaweza kugharimu bei gani mpaka duka likamilike??
 
Mkuu naomba unisaidie maduka ya wafanyabiashara wanaouza vifaa original vya pikipiki kwa bei ya jumla kariakoo wapo mtaa gani
Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
 
Hii kitu niliifikiria kabla sijaenda shamba but sikuweza kupata taarifa kamili kuhusu biashara inafanyikaje. Nataka nijue inafanyikaje na mtaji ni bei gani nianze nao kujaza kafremu walau ka laki moja
 
Nafikiria kuanziasha biashara ya kuuza spare za boda boda ila sija ufahamu juu ya mtaji na changamoto za biashara hyo.

naombeni ushauri
 
Biashara yoyote ile unaweza fanya ila vitu vikuu ambavyo lazima viwe checked:
1. Location
2. Capital (point kuu)
3. A,B,C za hiyo biashara.


Kama umeamua kufanya biashara hii na huna ujuzi hata wa kufungua taili nenda veta kuna short courses piga ili uwe na ABC
Maturity ya biashara yako hapa uwe mvumilivu sana maana unaweza dhani umechagua wrong business kipindi hiki kigumu unaweza fungua asubuhi mpaka jioni na usiuze hata 500.
 
asante. je kama ntamuajiri mtu anaefahamu vitu hvyo?
Biashara yoyote ile unaweza fanya ila vitu vikuu ambavyo lazima viwe checked:
1. Location
2. Capital (point kuu)
3. A,B,C za hiyo biashara.


Kama umeamua kufanya biashara hii na huna ujuzi hata wa kufungua taili nenda veta kuna short courses piga ili uwe na ABC
Maturity ya biashara yako hapa uwe mvumilivu sana maana unaweza dhani umechagua wrong business kipindi hiki kigumu unaweza fungua asubuhi mpaka jioni na usiuze hata 500.
 
Mk
Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
Mkuu Tugusie kidogo kuhusu mtaji na Machimbo ya kupata spea kkoo..
 
Kuna rafiki yangu alianza hii biashara kwa mtaji wa mil 1.5 mambo yanaenda vizuri, yeye alitafuta location nzuri karibu na wanapopaki pikipiki na vile vile akatafuta fundi akawa anatengenezea hapo hapo.
 
Kuna rafiki yangu alianza hii biashara kwa mtaji wa mil 1.5 mambo yanaenda vizuri, yeye alitafuta location nzuri karibu na wanapopaki pikipiki na vile vile akatafuta fundi akawa anatengenezea hapo hapo.
Ni sahihi ukishafungua biashara muweke fundi pembeni kwa sharti la kumuuzia spare
 
Salaam WanaJamii forums,

Mimi binafsi sina uzoefu wa biashara ya duka, ndiyo natarajia kufungua biashara hii kwa mara ya kwanza. Ni duka dogo la spea za pikipiki.

Wenye uzoefu na biashara ya duka, naombeni mnisaidie. Nifanyeje kufuatilia bidhaa zinazotoka na mauzo yake? Namaanisha huwa mnafanyaje kuhusu management ya mauzo yote iwe ni kwa siku ama week ama kwa mwezi? Kufahamu bidhaa ngapi na ipi zimeuzwa kwa Tsh ngapi, bidhaa zipi na ngapi bado zipo kwenye shelf, n.k.

Pia naombeni mnishauri niiset vipi frem (chumba) ili iwe na mvuto wa kibiashara. Na nifanye favours zipi ama mambo gani ili kumvutia mteja akaribie tena na kuleta wenzake?

Bidhaa ni spea za pikipiki. Nitaajiri mtu wa kufanya mauzo dukani. Pia naweka Fundi pikipiki kwa nje kufanya service za pikipiki.

Naombeni mawazo yenu na ushauri.

Ahsante
 
Back
Top Bottom