Biashara ya vipuri vya pikipiki: Ushauri, michango, mawazo

Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
 
Ndugu hiyo biashara nimefanya faida ni kubwa lakini inakuja na masuala ya makadirio, kodi na usumbufu kadhaa!.. Pia ili uione faida isiyo na jasho sana uza spea feki, vifaa orijino kwa wabongo ni kama laana!.
Kitu kingine jua sana kufanya matangazo!.. Jishughulishe na vituo vya matangazo pamoja na kujitolea sana kuhudumia mteja kama ndio siku ya kwanza kuja dukani kwako!..
Uza spea mchanganyiko ukitaka tamaa ya faida kubwa lakini ukitaka jenga jina na heshima uza spea orijini pekee!.. Biashara ya spea imeingiliwa sana ukiamua kuwa wazi niambie eneo unalotakafungua Tz nikupe watu wa kukuongoza na ushauri!.
Nakutakia kila laheri kwenye biashara hiyo!.
Nimekupata mkuu
 
Mi ninashida Na softcopy ya spea za piki piki kama kuna Mwenye nayo Tafadhali.
 
Wasalam

Ninaomba wazoefu wanishauri kuhusu biashara ya Duka la Vifaa vya Pikipiki.

Najua ushauri huu utanifaa mimi na wengine waliokuwa na mawazo (au hata ambao hawajawahi kuwaza kufanya ujasiriamali huu)

Mambo ambayo ningependa yawe kama Hadidu Rejea za Ushauri kutoka kwenu ni:-

1. Kiasi cha mtaji angalau wa kuanzia

2. Aina ya vifaa ambavyo ni lazima viwepo dukani (ambavyo vinatoka mara kwa mara)

3. Namna ya kudhibiti kuibiwa endapo nitaweka mtu wa kuuza duka

4. Miji (na maeneo specific kama unayafahamu) inayouza vifaa hivi kwa jumla hususani kwa kanda ya ziwa

5. Mambo mengine ambayo sijayataja hapa, lakini unadhani ni muhimu katika kuendesha biashara hii

6. Changamoto zilizopo (nijiandae kukabiliana na changamoto gani?)

NB: Eneo la biashara ni Mji (sio mji mkubwa)

Tafadhali nakaribisha ushauri wenu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalam

Ninaomba wazoefu wanishauri kuhusu biashara ya Duka la Vifaa vya Pikipiki.

Najua ushauri huu utanifaa mimi na wengine waliokuwa na mawazo (au hata ambao hawajawahi kuwaza kufanya ujasiriamali huu)

Mambo ambayo ningependa yawe kama Hadidu Rejea za Ushauri kutoka kwenu ni:-

1. Kiasi cha mtaji angalau wa kuanzia

2. Aina ya vifaa ambavyo ni lazima viwepo dukani (ambavyo vinatoka mara kwa mara)

3. Namna ya kudhibiti kuibiwa endapo nitaweka mtu wa kuuza duka

4. Miji (na maeneo specific kama unayafahamu) inayouza vifaa hivi kwa jumla hususani kwa kanda ya ziwa

5. Mambo mengine ambayo sijayataja hapa, lakini unadhani ni muhimu katika kuendesha biashara hii

6. Changamoto zilizopo (nijiandae kukabiliana na changamoto gani?)

NB: Eneo la biashara ni Mji (sio mji mkubwa)

Tafadhali nakaribisha ushauri wenu



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uzoefu wangu kwakuwa hii biashara, ya spares za pikipiki especially bajaj nishawahi kufanya. Vitu vya msingi at list dukani kwako visikosekane ni kama vifuatavyo:- oil,Bering,gasket, bleckshoe,sporkect ,blag,rings,block, cilinder head ivyo kwa uchache.Kwa ushauri lazima uwe na fundi pembeni na ofic yako .
 
Kwa uzoefu wangu kwakuwa hii biashara, ya spares za pikipiki especially bajaj nishawahi kufanya. Vitu vya msingi at list dukani kwako visikosekane ni kama vifuatavyo:- oil,Bering,gasket, bleckshoe,sporkect ,blag,rings,block, cilinder head ivyo kwa uchache.Kwa ushauri lazima uwe na fundi pembeni na ofic yako .
Asante mkuu kwa ushauri. Vipi kuhusu angalau mtaji wa kuanzia ukiondoa fedha ya frame

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom