white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,313
- 13,277
Nime ku pmShukrani, karibu nawewe ulime nna plot nauza ya vipeto 12 guaranteed au zaidi kutokana na wingi wa mbolea mil 2 na laki 2
Nime ku pmShukrani, karibu nawewe ulime nna plot nauza ya vipeto 12 guaranteed au zaidi kutokana na wingi wa mbolea mil 2 na laki 2
Ahsante mkuu kwa mawazo yako...Bei ya Jumla inaenda na msimu kuna wakati ni 40,000 kuna wakati ni 60,000
usafiri Gunia ni 7,000 kwa Lori sijajua sasa hivi
Njombe na Moshi viazi maarufu
Uiwa na milion tatu unaweza coz mm ni kulima wa viazWakuu itifaka imezingatiwa.
Nina mawazo ya kuanza biashara ya kununua viazi mviringo (viazi vya chipsi) kutoka Njombe na kuvileta Dar Es Salaam. Mtaji wangu sio mkubwa kivile ni shilingi laki 8. Kwa mtu mwenye uzoefu biashara hii naomba ushaur tafadhali nini nifanye ili nifanikiwe.
Na je mtaji huo utatosha japo kwa kuanzia?
NAWASILISHA
Njoo njombe Makete ata utapata kiaz safNi kweli kaka ni biashara ambayo naipenda lakin inaniumiza kichwa jinsi ya kuianza kufanya coz bado nilikua sizifahamu changamoto zake ila nitajitahidi
Njo njome uku viaz vingSalamu kwenu wadau,
Naomba kujulishwa kiundani juu ya biashara ya Viazi mviringo/ulaya kutoka Tarime kupeleka Mwanza. Moja ya Mambo muhimu ninayoomba kueleweshwa ni haya:-
-Misimu ya Viazi hivi ni miezi ipi?
-Gunia shambani ni sh. Ngapi?
-kusafirisha ni sh ngapi?
-ushuru tra ni sh ngapi?
-usafirishaji ni Wa namna gani?
-zipi changamoto hasa?
-kwa kila gunia ukiondoa kila gharama kuanzia kutoa shambani hadi Mwanza sokoni likiuzwa unaweza pata faida kiasi gani?
-mzigo unaweza isha baada ya muda gani ukishafika sokoni? Niishie hapa kwanza
Natumai nitapewa msaada na wazoefu Wa biashara hii,mana maisha magumu nataka nitumbukie na kwenye biashara hii kama ikiwezekana. Natanguliza shukurani ndugu zangu!
Ndugu hilo jina la pili kwenye avatar yako lina maana hiyo hiyo au ni jina tu!? Ha ha haNjo njome uku viaz ving
Tatu inaweza kukupa cha juu sh ngapi!?Uiwa na milion tatu unaweza coz mm ni kulima wa viaz
Kwa kilimo cha umwagiliaji viazi vinapatikana miezi yote 12 ya mwaka.Salam wakuu,
Nahitaji kujua msimu wa viazi hua ni mwezi wa ngapi hasa?
Msaada kwa wazoefu
Nashukuru mkuu... Vipi kuhusu ambavyo sio vya umwagiliziaji?Kwa kilimo cha umwagiliaji viazi vinapatikana miezi yote 12 ya mwaka.
mkoa wa mbeya viazi huanza kulimwa kati ya mwezi wa 3 hadi wa 5, mavuno huwa ni kuanzia mwezi wa 7 hadi wa 10. Tofauti hapo ni aina ya kiazi na mvua, mvua ikiwa nyingi mwezi wa 3, hua wanachelewa kupanda, mvua inaozesha viazi.Nashukuru mkuu... Vipi kuhusu ambavyo sio vya umwagiliziaji?
Shukrani makadirio ya juu kwa kulima ekari moja inaweza kuwa kiasi gani?mkoa wa mbeya viazi huanza kulimwa kati ya mwezi wa 3 hadi wa 5, mavuno huwa ni kuanzia mwezi wa 7 hadi wa 10. Tofauti hapo ni aina ya kiazi na mvua, mvua ikiwa nyingi mwezi wa 3, hua wanachelewa kupanda, mvua inaozesha viazi.
milioni mbiliShukrani makadirio ya juu kwa kulima ekari moja inaweza kuwa kiasi gani?
Duh milion mbili?milioni mbili
shamba ni laki 3 mpaka 5 kwa mashamba mazuri ya Ndaga na Ntokela,Duh milion mbili?
Kwa mchanganuo gani huo chief..ifuatayo ni rafu yngu kwa uzoefu wangu mdogo naomba nisahihishwe nitakapokuwa nimekosea..
:-Kukodi shamba heka moja 100,000- 120,000
:-kulima 60,000
:- mbegu viroba vitano kimoja 50,000 =25000
:-Mbolea yakupandia DAP mfuko wa kilo 25 =35000 + keni mfuko wakilo 25= 22,000 jumla mbolea yakupandua inagharimu 57000
:-Wapandaji 40,000
:- MASTA KINGA kilo moja 18,000
:-mbolea yamaji 10,000
:-sumu 10,000
-palizi nakupandishia udongo :40,000
-: HESABU KUU INANIPA 600,000