Nazawari Abdallah
Member
- Jul 28, 2021
- 7
- 4
Jamani naombeni msaada wa jinsi soko la viatu vya kimasai mkoa wa Singida kwa mfanyabiasha anayeanza
Unapatikanika wapi brotherfundi wa viatu vya kimasai nipo mkuu tufanye kazi kama upo tayari 0657623266
pia mkuu unaweza wekeza ukawa unanilipa kama fundi nikaja kukutengenezea hukohuko maana vifaa hata mwanza vianapatikana.Unapatikanika wapi brother
Jumla jumla mzeeWanauza kwa jumla ama reja reja