Ipi sijaijuaSimple kama hiyo katoni bei gani
Mimi nauza special ila mtumba nautamani sana alafu miezi hii naona lango viatu vizuri sanaMi pia nafanya biashara hiyo kikweli sio mbayaa,sometime nakata beli au naenda kupick mlango mmojaa
Hizi dizaini
Bila tatizo lolote unaitaji ushauri kwenye mtaji eneo au changamoto
24Mkuu kwenye katoni zinakuwa pair ngapii?na bei ya reja mi nauza kwa bei gani?
Kuwa na mafanikio makubwaHivi utajiri kwako unamaanisha nini?
hivi viatu ni moto una haki ya kulala hata na laki kwa siku.viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
Ana viatu vizuri sanahivi viatu ni moto una haki ya kulala hata na laki kwa siku.
Ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndiye fursa........
Eneo ingekua bomba zaidiBila tatizo lolote unaitaji ushauri kwenye mtaji eneo au changamoto
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ushauri kuhusu eneo unapaswa utafute eneo ambalo linapita watu wengi .Eneo ingekua bomba zaidi
Kuhusu mtaji naweza nikaanza na kiasi gani cha chini kbsa??
Sent using Jamii Forums mobile app