Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

Ipi sijaijua

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hizi dizaini
JamiiForums104953578.jpg
JamiiForums-656482511.jpg
 
viatu vinalipa kweli kama una mtaj hata wa m1 baada ya mwaka unaweza kuwa na mtaj mkubwa sana .me nina biashara nyigine lkn baada ya vyuma kukaza. niliweka kimeza nje ya frem nikaanza na mtaji wa elf 70 nafata moshi naleta arusha vya mtumba. kuna kiatu unanunua elfu 5 kikiwa kichafu ukiosha unauza elf 20, kwa sasa mpaka natamani nihachie frem nibaki nje maana sikosi faida elfu 20 mpaka 30 kwa siku.View attachment 1583207View attachment 1583208View attachment 1583210View attachment 1583211View attachment 1583214View attachment 1583216
hivi viatu ni moto una haki ya kulala hata na laki kwa siku.
 
Eneo ingekua bomba zaidi
Kuhusu mtaji naweza nikaanza na kiasi gani cha chini kbsa??

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri kuhusu eneo unapaswa utafute eneo ambalo linapita watu wengi .

Kama vile stand kwasababu maeneo ya stand ndani mengi yamejaa wewe weka goli lako barabara ya kuelekea stand au sokoni ni rahisi sana kupata ayo maeneo kuliko sokoni ndani au stand ndani ukiweka vitu vikali utashanga mwenyewe watu wanaishia kwako tu

Mtaji

Kuhusu swala la mtaji ni wewe mwenyewe na uwezo wako. Ila kama ata unamtaji wa laki mbili usiweke laki mbili yote weka ata laki ikizidi sana laki na nusu kusoma kwanza biashara usiweke pesa yote

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom